dada yangu hapa mie naona bora uachane nae tuu......the reason being kwamba kila leo wewe utakuwa unafanya kazi ya onyesha kuwa u not cheating na hivyo trust itakuwa issue...jambo engine kwa nini watu waendelee kukuletea usumbufu kama kweli wewe hucheat? kuna kitu ambacho wewe hutuambii hapa.