Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 881
- 303
Habari zenu wanajukwaa,
Msaada nina mtaji wa laki tano naomba ushauri ninaweza kufunguaa duka La rejareja. Kama uuzaji wa unga, sukari, maharage, na bidhaa zingine? na vipi kuhusu faida huwa ikoje? Msaada tafadhali.
Mbarikiwe.
Msaada nina mtaji wa laki tano naomba ushauri ninaweza kufunguaa duka La rejareja. Kama uuzaji wa unga, sukari, maharage, na bidhaa zingine? na vipi kuhusu faida huwa ikoje? Msaada tafadhali.
Mbarikiwe.