Ushauri na mawazo kuhusu hili

Ushauri na mawazo kuhusu hili

Ngushi

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
9,064
Reaction score
18,367
Habari wanajamvi

Nina mdogo wangu amechaguliwa chuo UDOM kozi inaitwa bachellor of science in biology kitu ambacho hakuchagua kati ya yale machaguo ya tcu
Sasa naomba mawazo yenu juu ya hii faculty na field yao ni sehemu gani?
Na je, anaweza kubadilisha baada ya kufika huko?

Naomba mawazo yenu na michango yenu nimpe mwanga mdogo wangu.....
 
Mmmmmh ajaribu kubadilisha akifika huko ingawa kuna kufanikiwa na kutokufanikiwa kubadilisha sometime
 
Duh inawezakana kubadilisha lakin si unajua hawamu hii mambo yamebalika lakin asiache kujaribu
 
Haiwezekan tcu wakakuchagua bachelor ambayo hukuiweka kwenye machaguo yako sio kwel
 
Haiwezekan tcu wakakuchagua bachelor ambayo hukuiweka kwenye machaguo yako sio kwel
mi mwenyewe nimesoma sijawahi kutana na hilo....ila limetokea kwa mdogo wangu mkuu
 
Mwambie aje bsc chem akifika tu chuoni aanze utaratibu wa kubadilisha
 
Ila hiyo hoja yako ya kusema TCU wamemchagua katika program ambayo hakuiomba ni uongo..nikutafuta kiki hapo na TCU..kwanza alikuwa anataka kusoma nn ukiachilia na hiyo program??
 
Tcu hawawezi fanya hivyo dogo anazingua
 
Ila hiyo hoja yako ya kusema TCU wamemchagua katika program ambayo hakuiomba ni uongo..nikutafuta kiki hapo na TCU..kwanza alikuwa anataka kusoma nn ukiachilia na hiyo program??
sio mimi ambaye kwanza niliyefanya hiyo application ko hata mimi nimeshangaa! sasa ukiniambia natafuta kiki.....kuna vitu vya kiki sio hicho!
 
Mbona mwaka huu hayo madudu wamefanyiwa wengi msimtuhumu dogo wala hajabadilisha machaguo maana. kwangu yeye si wakwanza
 
Mbona mwaka huu hayo madudu wamefanyiwa wengi msimtuhumu dogo wala hajabadilisha machaguo maana. kwangu yeye si wakwanza
ndii hapo mkuu mimi limemkuta mdogo angu hao majamaa wanasema anatafta kiki.....
 
Akawaombee ilu a some with maana zipo kwa cozi kwa ajiri ya kuingizia chuo kipato lakn hazina mbele wars nyuma
 
Back
Top Bottom