Ushauri: Mwanaume hapendi kunisaidia

nadhani unaamini JF kuna wanaume wa kukusaidia
Jisepe zako huko
Ukiwa huna cha ku -comment kaa kimya
Watu tuna heshima zetu ujue
We leta choko choko tu
Hakuna atakae kujibu ovyo hapa
Chokonoa uwezavyo mie ctakujibu kitu
Usinitafutie ban mtoto wa watu bure
 
Yani kama ulijua vile
Eti wanawake ni wajanja sana anasema
 
Yani kama ulijua vile
Eti wanawake ni wajanja sana anasema
Si bure, mimi nitakuwa mchawi

Anyways wanaume tunajuana tabia zetu, ndo maana tunawashauri kwa experience matatizo mnayoyapata wanawake kutoka kwa wanaume wenzetu.
 
Upo sahihi kabisa
 
Nyie si ndio wale manaosomeshwa na wanaume alafu mkimaliza elimu mnaleta dharau na vijembe kisha mnawasahau kabisa na kusema taja gharama zako nikurudishie????
Hata wewe hufai kuwa naye
Duh !
Co wote wenye Tabia hizo
 
Kwani usingekua nae nani angekusaidia?? Kama unauza si umwambie tu awe analipia bili
 
Hili ni tangazo au unahitaji ushauri kweli? Kwenye andishi lako dada yangu unaonekana umeshahitimisha tayari.

Halafu kuna vitu kwenye uhusiano wenu ambavyo viko nyuma ya pazia hujatuambia. Hii ni one-sided story!! Simtetei hata kidogo lakini labda jamaa has smelt a rat in you !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…