hahahha jamii forum vever boaring jamani ...
Pombe haina dawa. Wewe nenda kamseme kwa mama yake
Mkamulie maziwa yako kama unanyonyesha bibie!!trust me atatapika hatareee na hapo ndo utakua mwisho wa kua chapombe!! Ila hizi ndoa jaman mnavumilia mengiii
fungua bar home. ikifika SAA kumi na mbili jioni wewe na binti zako mnaingia Kwenye vazi nusu uchi.... watoto wa kiume wanachoma nyama..... Mbona baba ataipenda bar ya home na Raha, furaha na amani vitaongezeka mara dufu ndani ya nyumba yenu
Mkamulie maziwa yako kama unanyonyesha bibie!!trust me atatapika hatareee na hapo ndo utakua mwisho wa kua chapombe!! Ila hizi ndoa jaman mnavumilia mengiii
dont talk like this it hurt......
hujui tu kiukweli
Pombe haina dawa. Wewe nenda kamseme kwa mama yake
Tunamrahisishia. Angekuwa anapenda kusaka suluhu ya kweli ya shida yake angeingia magotini, angefunga na kuomba ili Mungu amnusuru mumewe, lakini kwa Kuwa yeye maana suluhu LA tatizo lake liko Jamii Forums.... wacha wana JF tumpe masolution ya kufa MTU.
NB:-
akiona hajapata suluhu atumie njia Hii.......
Njooni kwangu , ninyi nyote msumbukao na
wenye kulemewa na mizigo, nami
nitawapumzisha. "- Yesu (Mt 11:28)
fungua bar home. ikifika SAA kumi na mbili jioni wewe na binti zako mnaingia Kwenye vazi nusu uchi.... watoto wa kiume wanachoma nyama..... Mbona baba ataipenda bar ya home na Raha, furaha na amani vitaongezeka mara dufu ndani ya nyumba yenu