Ushauri muhimu sana

Ushauri muhimu sana

Hayo mahitaji muhimu utayamudu bila ya kuwa na hela, dogo acha ubishi tafuta hela. Alafu nyie madogo mkiambiwa mtafute hela mnaona kama mnasemwa.
Basic need
1.Food
2.clothes
3.shelter
4.sex.

Pesa natafuta ila.wanawake muhimu sana...
 
Hayo mahitaji muhimu utayamudu bila ya kuwa na hela, dogo acha ubishi tafuta hela. Alafu nyie madogo mkiambiwa mtafute hela mnaona kama mnasemwa.
Miaka 20 anawaza wanawake, tena anaogopa kuwatenda😊
 
Miaka 23 dogo tulia kwanza, vuta pumzi, vuta bangi.

Miaka 23 ni mda wa kutest mitambo, kupima urefu nk. Unataka ukae na mwanamke mmoja na miaka hiyo?

Life starts at 40.
😂😂😂😂Avute bangi
 
Yan hyo amekuja kukupumzikia, atakupelekesha ww, n hv bado ur not stable financially kazi unayo
 
Kashakuzidi akili uyo usikute na mimba katoa ushahidi ninao watu wa style iyo nishadate nao na ndo mtajia dawa ya kuchoropoa kijusi maana alikuwa anasom kipindi iko, Akapewa ela na jamaa ake akanunua

Just imagine bado ananipenda japo mimba haikuwa yangu kikubwa kakuweka wazi ni wewe kuchagua
 
Wat0t0 wa miaka 20 mpk 26 sio wakuwapa moyo wakuifadhie...HIFADHI HII TXT...
 
Mwanamke akikwambia katembea na wanaume 9 bhasi jua ni zaidi ya 20... kupenda unatumia moyo ila sasa TUMIA AKILI unapotea pigaa pita hiviii
 
Back
Top Bottom