1.Achukue likizo nje akapumzike,
2.A check afya yake nje kuhusu simu
Aweke chips mwilini mwake inasaidia kujimonita.
3.Awe na walinzi ikibidi toka nje tena ni ma ex commando ambao wameifuzu moto combati,anawaombea vibali vya kazi tu.
4.Dereva wake awe commando sio dereva just dereva tu
5.Awe na gyme yake home kutoka alfajili ni hatari
6.Asiwaamini sana watu,Maana kuna wengine wenye nia ovu wanaweza Fanya kweli ili kuichafua sirikali kwa ajenda yao.
7. Awasamehe wahusika, kama anawajua au hawajui,asifanye press conference,itamletea bifu na hao wazungu wawili nguli, ailiachie juu kwa juu,kwa uzoefu wa matukio kuanzia kina Roma ni nadra kutekwa mara Mbili japo sio la kuliamini ili.
8. Asiache kuendelea kuisaidia jamii ilipiga kelele sababu aliwekeza kwenye jamii.
2.A check afya yake nje kuhusu simu
Aweke chips mwilini mwake inasaidia kujimonita.
3.Awe na walinzi ikibidi toka nje tena ni ma ex commando ambao wameifuzu moto combati,anawaombea vibali vya kazi tu.
4.Dereva wake awe commando sio dereva just dereva tu
5.Awe na gyme yake home kutoka alfajili ni hatari
6.Asiwaamini sana watu,Maana kuna wengine wenye nia ovu wanaweza Fanya kweli ili kuichafua sirikali kwa ajenda yao.
7. Awasamehe wahusika, kama anawajua au hawajui,asifanye press conference,itamletea bifu na hao wazungu wawili nguli, ailiachie juu kwa juu,kwa uzoefu wa matukio kuanzia kina Roma ni nadra kutekwa mara Mbili japo sio la kuliamini ili.
8. Asiache kuendelea kuisaidia jamii ilipiga kelele sababu aliwekeza kwenye jamii.