Ushauri: Mpenzi wake hataki watu wajue mahusiano yao

Vivac

JF-Expert Member
Apr 12, 2015
475
480
Nina rafiki, anaomba ushauri.

Ana boyfrend wake ambae yeye anampenda sana lakini issue in hii sasa.
mkaka anamwambia mdada kuwa anampenda lakini kuna yafuatayo ambayo yanamuumiza best wangu;

1.Mkaka hataki watu wajue kuwa ana mahusiano na huyu dada sasa mapenzi yao yapo kwa siri.

2. Mdada analalamika kuwa wakiwa wanasex, mkaka hataki kumwongelesha na akimaliza tu haja yake anamtegea mgongo. Mda mwingne mdada akimgusa mpenzi wake, anasonywa na mkaka husema amechoka ana usingizi.

3. Mkaka amemuahidi mdada kuwa atamuoa. Lakini huyu dada hana uhakika.

Sasa jamani, mie huwa siwezi kushauri mambo ya mahusiano, naombeni mnisaidie ili nimsaidie rafiki yangu kwa shida hii alionayo. Please.
 
Hii ni lugha ya kiswahili kweli?

Mkaka,mdada.
Tangia badala ya tangu
Masaa badala ya saa
Mashule badala ya shule
Baba ake mkwe-baba mkwe wake

Haya!Mpe pole.Ni jambo dogo sana amrekebishe.
 
Hii ni lugha ya kiswahili kweli?

Mkaka,mdada.
Tangia badala ya tangu
Masaa badala ya saa
Mashule badala ya shule
Baba ake mkwe-baba mkwe wake

Haya!Mpe pole.Ni jambo dogo sana amrekebishe.
Amrekebshe vp sasa my frnd?
 
1.Sasa anataka aongeleshwe nini wakati akinyooshwa? Wakati hapo hata macho hayaruhusiwi kufumbuliwa.
2.Kwani huyo rafiki ako ama hata kama ni wewe unataka mapenzi yenu yawe matangazo kwa watu gani ama ni unataka muende kwa wazazi kujitambilsha? Na dadlili hizo akienda tambulishwa na akaachwa ama ikiendelea hivi maadamu chalii ataoa kipi bora...
3. Chalii kesha ahidi kuoa si asubiri basi aone.
Wana mda gani kwenye hiyo relatn?
 
Let's assume jamaa atamuoa kweli, kuna maana gani kuwa kwenye uhusiano/ndoa ambayo huna furaha? Maana mpaka hapo ni kwamba mwanamke Hana amani yani yupo tu kwasababu kapewa ahadi ya ndoa

Mnapenda sana ndoa kiasi kwamba mnakuwa vipofu wa kutojua maana ya ndoa.

Kifupi ni kwamba jamaa anamtumia. Mtu unayempenda huwezi kumsonya baada ya mechi, huwezi kuwa msiri hata rafiki yako mmoja wa karibu asimjue unaye tarajia kumuoa

Huyo jamaa ni jipu
 
Let's assume jamaa atamuoa kweli, kuna maana gani kuwa kwenye uhusiano/ndoa ambayo huna furaha? Maana mpaka hapo ni kwamba mwanamke Hana amani yani yupo tu kwasababu kapewa ahadi ya ndoa

Mnapenda sana ndoa kiasi kwamba mnakuwa vipofu wa kutojua maana ya ndoa.

Kifupi ni kwamba jamaa anamtumia. Mtu unayempenda huwezi kumsonya baada ya mechi, huwezi kuwa msiri hata rafiki yako mmoja wa karibu asimjue unaye tarajia kumuoa

Huyo jamaa ni jipu

Sana tuu tena jipu uchungu....
 
Nina rafk, anaimba ushauri....
Ana boyfrnd wake ambae yeye anampenda saba lakb issue in hii sasa.
Mkaka anamwambia Mdada kuwa anampenda lakini kuna yafua ayo ambayo yanamuumiza best ang!!!
1.Mkaka hataki watu wajue kua ana mahusiano na huyu dada sasa mapenz yao yapo kwa siri.
2. Mdada analalamika kuwa wakiwa wanasex, mkaka hataki kumwongelesha na akimaliza tu haja yake anamtegea mgongo. Mda mwingne Mdada akimgusa mpz wake, anasonywa na mkaka husema amechoka ana ucngz.
3. Mkaka amemuahidi Mdada kuwa atamuoa. Lakini huyu dada hana uhakika.

Sasa jaman, mie huwa swezi kushauri mambo ya mahusiano, naombeni mnisaidie ili nimsaidie rafk ang kwa shda hii alonayo. Plzzzzzz.
NIPE NAMBA YA HUYO MDADA nimbebeleze
 
Hii ni lugha ya kiswahili kweli?

Mkaka,mdada.
Tangia badala ya tangu
Masaa badala ya saa
Mashule badala ya shule
Baba ake mkwe-baba mkwe wake

Haya!Mpe pole.Ni jambo dogo sana amrekebishe.
Kitakuwa cha Garisa hiki!
 
Back
Top Bottom