USHAURI: Moyo wangu umetekwa na mwanafunzi

USHAURI: Moyo wangu umetekwa na mwanafunzi

RTI

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2018
Posts
2,422
Reaction score
7,171
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,nimetokea kumpenda binti mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili.

Binti huyo tulianza kuonana pale alipokuja anauza vitumbua kwenye kijiwe ninacho fanyia kazi miaka miwili iliyopita,basi kuanzia kipindi hicho nikawa mteja wake wa vitumbua.

Nimekuwa nikimchukulia kama mdogo wangu na ananiheshimu kweli kama kaka yake,lakini Siku za hivi karibuni nimejishangaa naanza kumpenda huyo binti,kingine pamoja na ujuwaji wangu wote lakini Siku hizi tukikutana huwa ninakosa ujasiri.

Kiukweli Mimi huyo binti sishindwi kumpata lakini nina sita sana kwa sababu kati ya kitu ambacho sikipendi ni kuwa ana uhusano na mwanafunzi.

Sio kwamba ninaogopa jera pekee hapana,lakini na mimi nina wadogo wangu wa kike nao wana soma kama huyo binti.

Kuna msemo mmoja unasema usimtendee wenzio jambo ambalo we we hutaki utendewe,na ni kweli Mimi nimekuwa nikiwasihi wadogo zangu kuepukana na hayo mambo wakiwa bado ni wanafunzi.

Lakini kila nikijitahidi kujitoa kwenye huu mtego ninashidwa,huwezi amini eti kuna kipindi huwa ninakosa usingizi kwa sababu ya huyo binti.

Ninaamini jf kuna watu mbalimbali wenye uwezo wa kunishauri ili niondokane na huu mtego wa mapenzi.
 
Jiandae miaka 30 jela, na ukiwa huko na wewe utapendwa kama ulivyompenda mtoto wa watu!

Yaani infatuation ya mtoto wa shule wewe unaichukula serious? Hiyo ni sehemu ya kukua, sio mapenzi. Kesho atakusahau kwa kuwa atakuwa na feelings kwa mwalimu wake wa English kwa kuwa anapenda anavyotamka sentensi "for example" akiwa anafundisha!

NB: Infantuation = Infatuation or being smitten is the state of being carried away by an unreasoned passion, usually towards another person for whom one has developed strong romantic or platonic feelings.
 
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,nimetokea kumpenda binti mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili.
Binti huyo tulianza kuonana pale alipokuja anauza vitumbua kwenye kijiwe ninacho fanyia kazi miaka miwili iliyopita,basi kuanzia kipindi hicho nikawa mteja wake wa vitumbua.
Nimekuwa nikimchukulia kama mdogo wangu na ananiheshimu kweli kama kaka yake,lakini Siku za hivi karibuni nimejishangaa naanza kumpenda huyo binti,kingine pamoja na ujuwaji wangu wote lakini Siku hizi tukikutana huwa ninakosa ujasiri.
Kiukweli Mimi huyo binti sishindwi kumpata lakini nina sita sana kwa sababu kati ya kitu ambacho sikipendi ni kuwa ana uhusano na mwanafunzi.
Sio kwamba ninaogopa jera pekee hapana,lakini na mimi nina wadogo wangu wa kike nao wana soma kama huyo binti.
Kuna msemo mmoja unasema usimtendee wenzio jambo ambalo we we hutaki utendewe,na ni kweli Mimi nimekuwa nikiwasihi wadogo zangu kuepukana na hayo mambo wakiwa bado ni wanafunzi.
Lakini kila nikijitahidi kujitoa kwenye huu mtego ninashidwa,huwezi amini eti kuna kipindi huwa ninakosa usingizi kwa sababu ya huyo binti.
Ninaamini jf kuna watu mbalimbali wenye uwezo wa kunishauri ili niondokane na huu mtego wa mapenzi.
Mara nyingi huwa tunajadili hapa kuwa wanaofungwa kwa kutembea/kuwapa ujauzito wanafunzi wanaonewa sana ila kuanzia leo inabidi nianze kuunga mkono juhudi za mahakama kuwafunga wapuuzi kama nyie.Yani hizo hormones umeshindwa kabisa kuzi-control?.Hapo hakuna cha kumpenda zaidi ya tamaa yako ya ngono tu ndo inayokupeleka puta."Eee mungu baba,naomba huyu mdau mpuuzi ampe mimba mwanafunzi kisha afungwe.Pokea maombi yangu eee baba.AMINA"
 
Mtongoze tu lakin usizin nae mpk amalize shule
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,nimetokea kumpenda binti mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili.
Binti huyo tulianza kuonana pale alipokuja anauza vitumbua kwenye kijiwe ninacho fanyia kazi miaka miwili iliyopita,basi kuanzia kipindi hicho nikawa mteja wake wa vitumbua.
Nimekuwa nikimchukulia kama mdogo wangu na ananiheshimu kweli kama kaka yake,lakini Siku za hivi karibuni nimejishangaa naanza kumpenda huyo binti,kingine pamoja na ujuwaji wangu wote lakini Siku hizi tukikutana huwa ninakosa ujasiri.
Kiukweli Mimi huyo binti sishindwi kumpata lakini nina sita sana kwa sababu kati ya kitu ambacho sikipendi ni kuwa ana uhusano na mwanafunzi.
Sio kwamba ninaogopa jera pekee hapana,lakini na mimi nina wadogo wangu wa kike nao wana soma kama huyo binti.
Kuna msemo mmoja unasema usimtendee wenzio jambo ambalo we we hutaki utendewe,na ni kweli Mimi nimekuwa nikiwasihi wadogo zangu kuepukana na hayo mambo wakiwa bado ni wanafunzi.
Lakini kila nikijitahidi kujitoa kwenye huu mtego ninashidwa,huwezi amini eti kuna kipindi huwa ninakosa usingizi kwa sababu ya huyo binti.
Ninaamini jf kuna watu mbalimbali wenye uwezo wa kunishauri ili niondokane na huu mtego wa mapenzi.
 
Hisia ni mbaya sana
Mara nyingi huwa tunajadili hapa kuwa wanaofungwa kwa kutembea/kuwapa ujauzito wanafunzi wanaonewa sana ila kuanzia leo inabidi nianze kuunga mkono juhudi za mahakama kuwafunga wapuuzi kama nyie.Yani hizo hormones umeshindwa kabisa kuzi-control?.Hapo hakuna cha kumpenda zaidi ya tamaa yako ya ngono tu ndo inayokupeleka puta."Eee mungu baba,naomba huyu mdau mpuuzi ampe mimba mwanafunzi kisha afungwe.Pokea maombi yangu eee baba.AMINA"
 
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,nimetokea kumpenda binti mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili.
Binti huyo tulianza kuonana pale alipokuja anauza vitumbua kwenye kijiwe ninacho fanyia kazi miaka miwili iliyopita,basi kuanzia kipindi hicho nikawa mteja wake wa vitumbua.
Nimekuwa nikimchukulia kama mdogo wangu na ananiheshimu kweli kama kaka yake,lakini Siku za hivi karibuni nimejishangaa naanza kumpenda huyo binti,kingine pamoja na ujuwaji wangu wote lakini Siku hizi tukikutana huwa ninakosa ujasiri.
Kiukweli Mimi huyo binti sishindwi kumpata lakini nina sita sana kwa sababu kati ya kitu ambacho sikipendi ni kuwa ana uhusano na mwanafunzi.
Sio kwamba ninaogopa jera pekee hapana,lakini na mimi nina wadogo wangu wa kike nao wana soma kama huyo binti.
Kuna msemo mmoja unasema usimtendee wenzio jambo ambalo we we hutaki utendewe,na ni kweli Mimi nimekuwa nikiwasihi wadogo zangu kuepukana na hayo mambo wakiwa bado ni wanafunzi.
Lakini kila nikijitahidi kujitoa kwenye huu mtego ninashidwa,huwezi amini eti kuna kipindi huwa ninakosa usingizi kwa sababu ya huyo binti.
Ninaamini jf kuna watu mbalimbali wenye uwezo wa kunishauri ili niondokane na huu mtego wa mapenzi.
Mkuu hapo mm sjaona kosa maana umesema umempenda kitu ambacho tumeagizwa pia kwamba tupendane ko hamna shida, ila kama umempenda ukimaanisha unataka papuchi yake hapo jiandae tu kuelekea kunako Wanaume wa nguvu
 
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,nimetokea kumpenda binti mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili.
Binti huyo tulianza kuonana pale alipokuja anauza vitumbua kwenye kijiwe ninacho fanyia kazi miaka miwili iliyopita,basi kuanzia kipindi hicho nikawa mteja wake wa vitumbua.
Nimekuwa nikimchukulia kama mdogo wangu na ananiheshimu kweli kama kaka yake,lakini Siku za hivi karibuni nimejishangaa naanza kumpenda huyo binti,kingine pamoja na ujuwaji wangu wote lakini Siku hizi tukikutana huwa ninakosa ujasiri.
Kiukweli Mimi huyo binti sishindwi kumpata lakini nina sita sana kwa sababu kati ya kitu ambacho sikipendi ni kuwa ana uhusano na mwanafunzi.
Sio kwamba ninaogopa jera pekee hapana,lakini na mimi nina wadogo wangu wa kike nao wana soma kama huyo binti.
Kuna msemo mmoja unasema usimtendee wenzio jambo ambalo we we hutaki utendewe,na ni kweli Mimi nimekuwa nikiwasihi wadogo zangu kuepukana na hayo mambo wakiwa bado ni wanafunzi.
Lakini kila nikijitahidi kujitoa kwenye huu mtego ninashidwa,huwezi amini eti kuna kipindi huwa ninakosa usingizi kwa sababu ya huyo binti.
Ninaamini jf kuna watu mbalimbali wenye uwezo wa kunishauri ili niondokane na huu mtego wa mapenzi.
hakuna ushauri mwingine laini zaidi ya kuachana na huyo mtoto tena usimwite binti, huyo ni mtoto mdogo na ni mwanafunzi. usijesema shetani kakupitia.
 
Back
Top Bottom