Weka Namba yake mkuu tulipize kisasi kwa kumweka mimba nyingine huyo cha woteAsante kwa ushauri mkuu
Weka Namba yake hapa tumuulize km kweli unampenda huyo Mama huruma Kabila gani?Ila nampenda bado
Unamaanisha kaoa Mama yake sio?Unaona sasa mama yako mtu kampiga mimba.mkeo unamuita huyo kaka badala ya kumuita mku....
Itakua ana jinsia tataWe jamaa kuna sehemu unakopi hivi visa au? Maana kwa siku moja unaomba ushauri kama demu mara mwanaume, mara mjane mara kahaba mara mtawa.
Mpuuzi,kutwa kujaza server kwa story za kutunga,kapimwe akili wewe
We ni mataqo story za fb ulete uku.
humu ndani tunapangwa sanaDogo unachukua mada Facebook unaleta huku!
CHAI TU HIZOJana ulikua umeolewa mmeo askari leo umeoa....joji una mambo
Kesho anasema amewekwa Mimba na mkata majani anaomba ushauri mumewe asije afanye nini?Jana ulikua umeolewa mmeo askari leo umeoa....joji una mambo
Kila siku analeta mada tofauti tofautihumu ndani tunapangwa sana
ndio mkuu sijui anatuonaje, anaokoteza huko halafu kuna watu wanaumiza kichwa wanamshauri kumbe mchangamsha genge.Kila siku analeta mada tofauti tofauti
oya huyu mpuuzieMwenye mimba ni wewe ama
Hakuna mwanaume anaeweza kuleta upumbavu huu kwa watu
Kweli boya
We kweli boya......kuna cha kuuliza hapo wakati majibu unayo?Mpaka nimeamua kukuandika sijui nifanye nini, mimi ni kijana wa miaka 33 nimeoa na nina mtoto mmoja na sasa hivi mke wangu amekwenda nyumbani kwetu kujifungua na hii ndio sababu ya mimi kuja kukuandikia.
Iko hivi, mimi na mke wangu tulikuwa vizuri sana katika ndoa yetu, ni mwanamke ambaye niliona ananiheshimu na kujali kweli kila mtu anampenda. Hatujawahi kugombana lakini wiki mbili zilizopita alikwenda kujifungua nyumbani kwetu, mimi ndiyo nilimpeleka lakini kurudi nyumbani katika kuhangaika kufanya usafi ndiyo nikakuta kuwa kuna laini ya simu ambayo ilikuwa kama imedondoka.
Nilipanga kuitupa ila nikaamua kuiweka kwenye simu kuangalia. Sikukuta kitu cha maana hivyo nikaamua kuitoa ila kabla ya kuitoa kuna SMS Mbili ziliingia ni kama zile zinasubiri uwashe simu ndiyo ziingie.
Ni meseji za mwanaume ambaye alikuwa akilaumu mke wangu kwa kwenda kwetu kujifungua. Kuna SMS moja ndiyo uliniumiza zaidi, uliandikwa “Mtoto wa kwanza nilihudumia mimba unajifungua mtoto kafanana na huyo mwanaume wako! Huyu wa pili nimekuambia anataka niwe karibu na wewe umeenda kujifungulia kwenu?
Nataka ujue kwamba huyo mtoto kama ni wangu ukirudi namchukua sitaki mwanangu kuishi na huyo Boya!”
Niliiangalia ile namba nikaja kugundua kwamba ni namba ya mfanyakazi mwenzake, nikafuatilia mtandaoni nikajua ni mtu ambaye namfahamu hata kwenye harusi yetu alikuja huyo kaka na wafanyakazi wenzake tena kama familia yake hata ile kutafuta hoteli kwa ajili ya wageni nilitafuta mimi na huyo ni mmoja wao wale ambao alitoa list ya watu wake watakaokuja siku ya harusi.
Sikujibu chochote hizi meseji na mpaka sasa hivi hakijatumwa chochote, nahisi labda mke wangu kamwambia kuwa hiyo laini kashapoteza sijui, ila ninachowaza sasa hivi nifanye nini? Nimekaa na hiki kitu wiki mbili mwenyewe nahisi kuchanganyikiwa kweli najiona kabsai nafanya vitu ambavyo sivyo naomba ushauri nifanye nini?