Ushauri: Mke wangu anasagana

Ushauri: Mke wangu anasagana

mwambie avumilie tu...na umweleze mambo hayo ni mambo ya hisia na emotion zaidi si ya kumwambia mtu kwa mdomo akaacha,ila mweleze kuna mambo mabaya zaidi ambayo anaweza mke akayafanya...kama kutoa rojo,au mke akatembea na mtaa mzima au hata baba au kaka wa mume au akichanganyikiwa zaidi anaweza kutembea na baba yake mzazi
asante kwa ushauri wako
 
Jamaa mmoja kaniita kwenye pub mmoja hivi na kaniambia kuwa ana shida na mie,nikamsikiliza,kaniambia kuwa mke wameanza kusagana na dada mmoja ambae nae ni mke wa mtu,nikamuuliza umejuaje,kaniambia kawakuta live
sasa anaomba ushauri afanyeje,nilishindwa cha kumshauri sasa nalileta kwenu,je afanyeje
Binadamu bana hahaha mwambie aje nimkoboe!!!
 
Mwambie angetulia tuli kama maji ya mtungi, aangalie ni kitu gani hicho wanachofanyiana ambacho yeye hakifanyi hadi inmpelekea mkewe kwenda kumtafuta huyo mwanamke mwezie.. sasa yeye awe anamfanyia huenda ndo kinachomridhisha na kwa mumewe hakipati
 
hao wake wawili washauri waje kwangu niwasage na pipe yangu watasahu io midildo yao
 
Mbaya zaidi kwa hawa wadada wanaosagana huwa hawana hisia kwa Wanaume.
 
Jamaa mmoja kaniita kwenye pub mmoja hivi na kaniambia kuwa ana shida na mie,nikamsikiliza,kaniambia kuwa mke wameanza kusagana na dada mmoja ambae nae ni mke wa mtu,nikamuuliza umejuaje,kaniambia kawakuta live
sasa anaomba ushauri afanyeje,nilishindwa cha kumshauri sasa nalileta kwenu,je afanyeje
Na yeye amfanye kwa style ya kumsaga na sio kutumia miguvu mwenyewe ataacha wanawake wenzie...
 
Hujui ulisemalo wewe.....
Mwanamke anayesagana ni hatari zaidi kwani akishazoea kusagana hutaweza kumridhisha tena.
Naomba kukubali kutokubaliana, mwanamke akikung'utwa huko nje na mwanaume mwingine, hataweza kurudi kwako akaridhika. Ni afadhali akasagana kuliko kulika na mwanaume mwingine (dharau zinaanza, kuleta magonjwa ndani etc). After all Kwani ni wajibu wangu kumridhisha au ni jukumu la kila mmoja kujiridhisha wakati wa kujamiiana.
 
Solution ni kumkojoza


Si kweli mkuu.

Sio sexual arousal simplistically that way.

Ni kwamba hao madada wapo attracted in love and emotionally wth their fellow women.Hawapo attracted na men.

Lesbian sex sio intrusive kama ya kwetu wanaume,ni ya juu juu mno...hivyo swala la kumkojoza sio sababu kabisa.

shida sio sex,shida ni ku-fal l in love with their fellow women.Hilo ndio tatizo.

Na hapo hawezi mrudisha,hata atombe kwa motorized machine,never on earth.Hiyo ni hasara,ni ya kutupa tu!
 
Naomba kukubali kutokubaliana, mwanamke akikung'utwa huko nje na mwanaume mwingine, hataweza kurudi kwako akaridhika. Ni afadhali akasagana kuliko kulika na mwanaume mwingine (dharau zinaanza, kuleta magonjwa ndani etc). After all Kwani ni wajibu wangu kumridhisha au ni jukumu la kila mmoja kujiridhisha wakati wa kujamiiana.
Usiombe kukutwa na bwana pepsi....yasikie tu kwa jirani yako, yasije yakakukuta. Hutaamini
 
Back
Top Bottom