fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,606
- 8,264
- Thread starter
- #21
asante kwa ushauri wakomwambie avumilie tu...na umweleze mambo hayo ni mambo ya hisia na emotion zaidi si ya kumwambia mtu kwa mdomo akaacha,ila mweleze kuna mambo mabaya zaidi ambayo anaweza mke akayafanya...kama kutoa rojo,au mke akatembea na mtaa mzima au hata baba au kaka wa mume au akichanganyikiwa zaidi anaweza kutembea na baba yake mzazi