fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,606
- 8,264
Jamaa mmoja kaniita kwenye pub mmoja hivi na kaniambia kuwa ana shida na mie,nikamsikiliza,kaniambia kuwa mke wameanza kusagana na dada mmoja ambae nae ni mke wa mtu,nikamuuliza umejuaje,kaniambia kawakuta live
sasa anaomba ushauri afanyeje,nilishindwa cha kumshauri sasa nalileta kwenu,je afanyeje
sasa anaomba ushauri afanyeje,nilishindwa cha kumshauri sasa nalileta kwenu,je afanyeje
