Kichwa cha habari kinajieleza. ..nashauri kama kweli nnchi ina nia ya kuwa ya viwanda lazima "minds" za wananchi zielekezwe huko.
Vipindi vya redio ambazo nyingi ndio husikilizwa zaidi ziwe na Vipindi vyenye kuelimisha ...kilimo.ufugaji.uvuvi.biashara etc
Sio burudani tuu asubuhi mpaka jioni