Ushauri: mchumba wangu hata sielewi....

Ushauri: mchumba wangu hata sielewi....

shylock

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
796
Reaction score
1,338
Nnamchumba huu mwaka wa 3, pasaka ya mwaka huu alienda Dom kwa dadake kabla hajarudi home Mwanza mi channel's zangu zkasoma dar.. Bas nikamtaarfu nikasepa zangu.juz tu ndo nmeingia kitaa. Jana nikatimba home kwao kumchek tu....... Kasha JAZWA kitumboo ndiii.
Niligeuka bila hata salamu kaja mpaka home wnadai eti tuongee seriously sijui lakufanya. SKU kuu kwangu naiona chungu mpaka mida hii nmejilaza tuu.
 
Mweee pole kaka!!mapenzi yanaumiza sana,uambie moyo wako kuwa kile ulichoona ndio kitu halisi.Mungu akusaidie.

Nb;usiiruhusu roho ya uchungu kwako.
 
Pole kuna wazee wa counter attack wakipewa siku moja tu wana utilise ipasavyo
 
Dah pole ndugu ..inauma for sure. But mshukuru Mungu then songa mbele..alifanya kwa makusudi ama kwa bahati mbaya, karma will say.
We mpe nafasi aongee na kujieleza na usihamaki wala kua na hasira,msikilize hadi mwisho ..sasa utaamua umjibu au uondoke zako kwa amani.
 
Kwa maelezo hayo mafupi tu, seems hamkuwa na mahusiano yenye afya.
 
Back
Top Bottom