huyo mwanamme hakupendi(angekupenda angekuwa anasisitiza usome zaidi ili uwe na maarifa zaidi ya kuangalia hizo so called mali zake)elewa educations its a key kwa kila kitu hapa duniani.and you still very young miaka 23 only unataka kuolewa why?weka nondo kichwani mpaka PHD the rest will follow.