nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 290
- 237
Nimedate na huyu dada kwa miaka 5 sasa toka 1st year nikiwa UDSM.
Mimi ndiye niliyemtoa usichana wake tukiwa mwaka wa pili chuoni huku nikimuhaidi nitakua naye milele.
Alichukua damu yake iliyokua inamtoka kwa wakati ule akanipakaa shavuni huku akinena maneno haya.
#Huyu ndiye mume wangu na endapo atanisaliti basi akumbane na majanga yakiwepo magonjwa na misukosuko ya maisha # mwisho wa kunukuu.
Kwa kipindi kile sikuona shida juu ya hicho kiapo kwani nilikua nampenda sana.
Sasa tatizo limekuja sina mapenzi naye tena nataka ku move on (nilishaambiwa na mama usimuoe mtu usiyempenda kisa umemuonea huruma).
Tatizo linalonitatiza ni kile kiapo alichoniapisha wandugu.
Swali langu je ni kweli?
Au matisho tu?
Mimi ndiye niliyemtoa usichana wake tukiwa mwaka wa pili chuoni huku nikimuhaidi nitakua naye milele.
Alichukua damu yake iliyokua inamtoka kwa wakati ule akanipakaa shavuni huku akinena maneno haya.
#Huyu ndiye mume wangu na endapo atanisaliti basi akumbane na majanga yakiwepo magonjwa na misukosuko ya maisha # mwisho wa kunukuu.
Kwa kipindi kile sikuona shida juu ya hicho kiapo kwani nilikua nampenda sana.
Sasa tatizo limekuja sina mapenzi naye tena nataka ku move on (nilishaambiwa na mama usimuoe mtu usiyempenda kisa umemuonea huruma).
Tatizo linalonitatiza ni kile kiapo alichoniapisha wandugu.
Swali langu je ni kweli?
Au matisho tu?