Mwambie afanye kile ambacho ni sahihi kwa ajili yenu anapokaidi mpige chini wanawake wengi wakitendewa mema hufanya kinyume on return..... mi nshajifunza sana kwa hawa watu kama haelewi unampotezea mazima mbona warembo kibao akhaaaaaaaa
Nilishampotezea siku nyingi mno.nilishamsahau.tayar nina kimwana mwingine.
Wanawake/mabinti wengi wa kipind iki ni magumash...mkiwa mkoa mmoja anakuchezea faulu sembuse ughaibuni....to be wise u jst move on bro apo hakuna kitu
Nilishampotezea siku nyingi mno.nilishamsahau.tayar nina kimwana mwingine.
mapenzi bana, dah!