Mwambie afanye kile ambacho ni sahihi kwa ajili yenu anapokaidi mpige chini wanawake wengi wakitendewa mema hufanya kinyume on return..... mi nshajifunza sana kwa hawa watu kama haelewi unampotezea mazima mbona warembo kibao akhaaaaaaaa
Wanawake/mabinti wengi wa kipind iki ni magumash...mkiwa mkoa mmoja anakuchezea faulu sembuse ughaibuni....to be wise u jst move on bro apo hakuna kitu
Asante Husniyo,,,kumbe bado upo eeh!Yaani tangu nipost hapa hata sikumbuki ni wangapi wamepita but 1 kachaguliwa kwa sasa,,,naye akicheza tu............
Wanawake/mabinti wengi wa kipind iki ni magumash...mkiwa mkoa mmoja anakuchezea faulu sembuse ughaibuni....to be wise u jst move on bro apo hakuna kitu
mahusiano ni taasisi ngumu sana kuiendesha, kinachofanya hawa waachane, ndicho kilichowaunganisha wapenzi wale! huwa sina uungaji mkono ktk distant relations!