Ushauri mapenzi ya mbali yananizingua

Lizzy unasemaje kuhusu hii "We are not perfect,so,before you love someone,make sure your imperfections coincide!!!!"
 
Mawasiliano finyu yeye pesa tu! Tafta mchumba huko huko mwaya.
Katika hii unasemaje Husniyo?"We are not perfect,so,before you love someone,make sure your imperfections coincide"
 
Lizzy unasemaje kuhusu hii "We are not perfect,so,before you love someone,make sure your imperfections coincide!!!!"

What's there to say???
Fanya huo msemo MSINGI wako katika kutafuta mwenza uone itakavyokusaidia.
 
Hiyo ni pasua kichwa-style. Huyo hana mpango na wewe kama vp chukua mwelekeo mwingine mapema.
 


NI RAHISI KUKUSHAURI NA SI KUKUAMULIA..
√Aligundua kuwa unampenda kuliko maelezo na ulimjengea kiburi kitendo cha kujulikana kwa mama ake akajua ndo umefika na umetua hautaweza kuruka....Jikatae kaka kujitumbukiza majonzini daima kwa kujishauri na kuamua mwenyewe....SIKU UKIKOSA PESA ITAKUAJE???.
Nooo...♥♥♥ ya kweli...Kaka pole sana kwa mkasa ulokukuta...Dada zetu cku hz hupendA short kati za kufanikiwa kimaisha...kwa kupenda kuwa na maisha mazuri pasipo kuyasotea...Hapo kwako pesa imependwa zaidi na si mapenzi..
√. Mapenzini kuzoeshana pesa ni tatizo kaka...Ni rahisi kutabili mwisho wake na conclusion yake iko simple...Jaribu hili ....Tulia muda mrefu pasipo kumpigia simu jicomeet tu na utaweza japo ni kazi...
√Wakati unafanya haya yoooote make sure una tafuta mwenza wa karibu ili uspend time nyingi kimawazo kwake japo ukawa unamsoma kitabia na kujipanga namna ya kumdate....then akizidisha mizinguo mpotezee kaka koz THE GOAL OF LIFE IS HAPPINESS...
♣Then responce yake kwako itakuwa ni mshituko kwake..."mmmh hapa nimeachwa au" atakuwa dilema na taratibu kuanza kujirudi....waweza mpa nafasi kiduchu na muda huku ukisubiri aanze tena vibweka vyake...Akianza tuu ...unakata communication kimoja and stor inakuwa over...
BINAFSI NAAMINI KATIKA ALTRENATIVE INAPUNGUZA STRESS....
CHUKUA HATUA
 
Tangu lini fimbo ya mbali ikauwa nyoka ata wahenga uwe unawasikiliza bana....
 
Nitajitahidi kumtafuta mtu hapa wa kuspend naye tym ili nisahau huyu,tatizo ni kwamba umpendaye hakupendi, yaani nimependwa na dada nisiyefeel kabisa.
 
Sio mapenzi ya mbali inaonyesha tabia hiyo anayo ulivokuwepo labda alijaribu kuificha, kingine huyo mpenzi wako hana huruma wewe umeenda kusoma anavokuelezea hayo matatizo yake haoni kama anakuchanganya umfikirie yeye kwa shida zake ufikirie masomo/kama ulivosema mwenyewe kishajua udhaifu wako kama unampenda ndo mana kila siku anakuelezea shida za pesa kama ni hostel we mzazi wake au jukumu la kumsomesha ni lako,mawasiliano yenyewe hafifu.KWA UFUPI KISHAKUFANYA ATM.......POLE!!!!
 
hayazingui sema huyo binti ndio anazingua
 
mapenz km hayo si ya kwl n anakupendea pesa zako
xo bro.kuwa makin san ht km ukiamua kutft kimwn sawa huyo lzm um.chane ili.ajione mjinga......
ila waschn most of them ndo hvy tamaa ya pesa . ....
 
Nilishampotezea siku nyingi mno.nilishamsahau.tayar nina kimwana mwingine.
 

wivu sina ila roho inauma. ivi kweli mtu anakujjari kiivo afu bint hata aangaiki kukutafta hata mtanaon? kiukwei hakupendi na atakuchuna mwanzo mwisho. kuwa makini . nimeamin penye miti....???
 

umemaliza mkuu. nawasilisha hoja.
 
Angalia Kwanza Kat Yenu Maybe We Ndo Tatzo Hapend Unavyoreact Kwake Au Amepata M2 Mwingne Kama Vp Mpige Chin
 
Hakuna kitu sipendi kama pesa za mtu, jasho la mtu na kuchezea maisha ya mtu. Wasichana hawana akili kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…