Unataka kufanya hicho kilimo wapi?
Kama ulikuwa unalima matikiti u aonekana hilo eneo lina maji.
Kama Uko Dar njoo nikupe connection ya kuuza majani ya maharage UK. Ikijaribu ukaona inakulipa mnunuxi anaweza be a tani moja kika wiki na mauzo ni kwa kilo
Nokirudi kwenye swali lako.-
- Bei ya jumla ya mahindi mabichi ni Tshs 200 hapahaijalishi kubwa ama dog.
- mbegu nyingi za kienyeji ambaza ni za mda mfupi mara nyingi mahindi sio makubwa kivile unless ni ya mda mrefu amvayo hsitakufa kwenye biashara
Mkuu hiyo biashara ya majani ya maharage ikoje?