nahitaji kununua nissan liberty ila sijajua madhaifu kuhusu gari lenyewe japo kwa muonekano ni zuri sana. Naomba kwa anaelifahamu kwa undani anifahamishe kabla sijaingia mkenge!
nissan ni magari mazuri sana,japo spea zake ziko juu kidogo kwa bei,ukinunua unasahau.haziharibiki hovyo,try to check kwenye matangazo madogo kuna nissan ninauza inaweza ikakufaa pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.