hahhahahahahahahahahahahaahMwezi huu hadi wanasindikizwa kwenye vikoba, jamaa wanauliza kabisa "kesho jumamosi ratiba yako ikoje?"
MufindiWakuu, nimeiona mahali, "eti wanaume mwezi huu wa Desemba mjitahidi sana kuwa karibu na wake zenu, hata kwa kupretend kwa kuwa wanawake wengi huu ndio mwezi wanao vunja VICOBA na kugawana hela"
Ongeza sauti, sijakusikia mkuuMufindi