1. Je unamwagilia maji ya kutosha? Kama hapana yawezekana ikawa ndio sababu.
2. Kama unamwagilia maji ya kutosha, je umeweka mbolea yenye madini ya calcium lini? Kama hujaweka jitahidi uweke mbolea ya CAN au yoyote yenye madini ya calcium.
3. Weka shamba lako katika hali ya usafi muda wote.