Ushauri kwa wanaume waliozaa nje ya ndoa

Ushauri kwa wanaume waliozaa nje ya ndoa

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,056
Reaction score
1,867
Moja Kwa moja kwenye mada.

Kama mwanaume umezaa nje ya ndoa basi jitahidi umpe msingi wa maisha mwanao akiwa huko huko kwa mama yake. Kama ni kumsomesha msomeshe huko huko na kama ni kumpa mtaji, mpe mtaji akiwa huko huko Kwa mama yake Itapendeza akija kwenye familia yako akiwa tayari ana maisha yake.

Asilimia kubwa ya Wanawake wanakua na Roho mbaya na wanazipandikiza mpaka kwa watoto wao na kupelekea kumchukia ndugu yao. Watamuheshimu akija kuwatembelea akiwa kwenye usafiri Wake na akiwa na nafuu ya maisha.

Narudia tena Asilimia kubwa ya mama wa kambo wana Roho mbaya. Wazuri wapo ila ni wachache sana.
 
Acheni kuwatupia lawama wanawake kwa makosa yenu wenyewe. Wanawake hatujawahi kuwa na shida na watoto tuliowakuta kwa wanaume wetu kabla ya kuwa pamoja, tunawapenda na tunawapa haki zote za mama kwa mtoto.

Shida ni hao watoto wanaokuja baada ya kuwa pamoja.
Mimi kwakweli wakwangu nilishamwambia mapema, mtoto/watoto baada ya sisi kuwa pamoja hawatokubalika kamwe. Atapambana nao mwenyewe, ni wa kwake na mwenzie/wenzie huko.

Kuchepuka mchepuke wenyewe kulea tulee wote? Hell No!
 
Acheni kuwatupia lawama wanawake kwa makosa yenu wenyewe. Wanawake hatujawahi kuwa na shida na watoto tuliowakuta kwa wanaume wetu kabla ya kuwa pamoja, tunawapenda na tunawapa haki zote za mama kwa mtoto.

Shida ni hao watoto wanaokuja baada ya kuwa pamoja.
Mimi kwakweli wakwangu nilishamwambia mapema, mtoto/watoto baada ya sisi kuwa pamoja hawatokubalika kamwe. Atapambana nao mwenyewe, ni wa kwake na mwenzie/wenzie huko.

Kuchepuka mchepuke wenyewe kulea tulee wote? Hell No!
Ni upuuzi, halafu wanakuja kusema samahani mtoto hana makosa.

Shenzii
 
Acheni kuwatupia lawama wanawake kwa makosa yenu wenyewe. Wanawake hatujawahi kuwa na shida na watoto tuliowakuta kwa wanaume wetu kabla ya kuwa pamoja, tunawapenda na tunawapa haki zote za mama kwa mtoto.

Shida ni hao watoto wanaokuja baada ya kuwa pamoja.
Mimi kwakweli wakwangu nilishamwambia mapema, mtoto/watoto baada ya sisi kuwa pamoja hawatokubalika kamwe. Atapambana nao mwenyewe, ni wa kwake na mwenzie/wenzie huko.

Kuchepuka mchepuke wenyewe kulea tulee wote? Hell No!
Unaongea kama umekatwa kichwa,eti wanawake hamna shida.Matukio yote haya tunayoyaona mitaani wanafanya akina nani?
 
Acheni kuwatupia lawama wanawake kwa makosa yenu wenyewe. Wanawake hatujawahi kuwa na shida na watoto tuliowakuta kwa wanaume wetu kabla ya kuwa pamoja, tunawapenda na tunawapa haki zote za mama kwa mtoto.

Shida ni hao watoto wanaokuja baada ya kuwa pamoja.
Mimi kwakweli wakwangu nilishamwambia mapema, mtoto/watoto baada ya sisi kuwa pamoja hawatokubalika kamwe. Atapambana nao mwenyewe, ni wa kwake na mwenzie/wenzie huko.

Kuchepuka mchepuke wenyewe kulea tulee wote? Hell No!
alaaaa alaaaa alaaaa
 
Back
Top Bottom