Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
Huyu Doctor Mwisho Sijapata Kuona.
Kumbe kujichua Nayo Ni Tiba?
Funguka nacho kisa hiki:
Kuna brother wangu ametoka kijijini kama miezi miwili nipo nae Town, Kabla ya hapo hajawahi kuwa mbali na familia yake hata siku mmoja.
Sasa hivi majuzi akaanza kusumbuliwa na maradhi, mara tumbo, mara kichomi, mara misuli imebana...! itena hali ikachange ghafla akawa anadai anasikia maumivu makali sana yanaanzia chini ya kitovu yanashuka mpaka kwenye makende.
Tukamuwahisha hospital, akafanyiwa vipimo hamna kitu, kila dawa akipewa haimsaidii ndio kwanza ugonjwa kama unaanza upya bro analalamika, madaktari wakawa wamechanyikiwa.
Akaja Daktari mmoja, mtu mzima. umri umekwenda, akamuuliza mgonjwa jinsi gani alivyoanza kuumwa, na kama ni hali ya kawaida, mgonjwa akasema ajawahi kuugua kwa jinsi anavyojisikia. Daktari akamuuliza mambo mengi tu, historia yake na mengine niliona kama ni upuuzi.
Akanambia nimchukue mgonjwa nimpeleke bafuni, mara yeye akaja namafuta akamwambia mgonjwa apige punyeto!
Mie na mgonjwa tunashangaa! Daktari yuko serious anamaanisha anachokiongea. Mgonjwa hana jinsi ikamlazimu kufanya kile Daktari alichokisema. Bahada ya kutoa manii, Daktari akamwambia mgonjwa akapumzike aje apige tena Nyeto.
Bahada ya masaa kama manne mgonjwa akaanza kusikia nafuu, ile hali imeachia na maumivu ya misuli katika mapaja inapungua.
Daktari akamwambia mgonjwa ahakikishe mpaka asubuhi ashatoa goli tano.
Ndugu zangu kunakucha mgonjwa mzima narudi nae nyumbani, Bro aibu imemshika ukichulia age yeye ana miaka 58 na mimi dogo 30, Ila bro ni mtu wa mkeka sana, sasa tangu aingie mjini hata kariakoo ajafika, yeye kajifungia getini.
Maelezo ya Daktari kuhusu ugonjwa uliokuwa unamsumbua bro sitaweza kuyaweka hapa, ila kikubwa bro zilimjaa ndio maana zikamtia ugonjwa.
Ndio na mimi nauliza kumbe zikizidi ni ugonjwa?
N:B Ni hali iliyomtokea rafiki yangu
Kumbe kujichua Nayo Ni Tiba?
Funguka nacho kisa hiki:
Kuna brother wangu ametoka kijijini kama miezi miwili nipo nae Town, Kabla ya hapo hajawahi kuwa mbali na familia yake hata siku mmoja.
Sasa hivi majuzi akaanza kusumbuliwa na maradhi, mara tumbo, mara kichomi, mara misuli imebana...! itena hali ikachange ghafla akawa anadai anasikia maumivu makali sana yanaanzia chini ya kitovu yanashuka mpaka kwenye makende.
Tukamuwahisha hospital, akafanyiwa vipimo hamna kitu, kila dawa akipewa haimsaidii ndio kwanza ugonjwa kama unaanza upya bro analalamika, madaktari wakawa wamechanyikiwa.
Akaja Daktari mmoja, mtu mzima. umri umekwenda, akamuuliza mgonjwa jinsi gani alivyoanza kuumwa, na kama ni hali ya kawaida, mgonjwa akasema ajawahi kuugua kwa jinsi anavyojisikia. Daktari akamuuliza mambo mengi tu, historia yake na mengine niliona kama ni upuuzi.
Akanambia nimchukue mgonjwa nimpeleke bafuni, mara yeye akaja namafuta akamwambia mgonjwa apige punyeto!
Mie na mgonjwa tunashangaa! Daktari yuko serious anamaanisha anachokiongea. Mgonjwa hana jinsi ikamlazimu kufanya kile Daktari alichokisema. Bahada ya kutoa manii, Daktari akamwambia mgonjwa akapumzike aje apige tena Nyeto.
Bahada ya masaa kama manne mgonjwa akaanza kusikia nafuu, ile hali imeachia na maumivu ya misuli katika mapaja inapungua.
Daktari akamwambia mgonjwa ahakikishe mpaka asubuhi ashatoa goli tano.
Ndugu zangu kunakucha mgonjwa mzima narudi nae nyumbani, Bro aibu imemshika ukichulia age yeye ana miaka 58 na mimi dogo 30, Ila bro ni mtu wa mkeka sana, sasa tangu aingie mjini hata kariakoo ajafika, yeye kajifungia getini.
Maelezo ya Daktari kuhusu ugonjwa uliokuwa unamsumbua bro sitaweza kuyaweka hapa, ila kikubwa bro zilimjaa ndio maana zikamtia ugonjwa.
Ndio na mimi nauliza kumbe zikizidi ni ugonjwa?
N:B Ni hali iliyomtokea rafiki yangu