habarin wana jf
nimeona nitoe ushauri kwa wanafunz wa new entry mwaka 2016/2017
{1}wasichague chuo kwa kufuata mkumbo
{2}wasichague koz hafifu
{3}wachague koz zenye fulsa za kujiajir na kuajiliwa
Bora ufanye ivyo kushauri awa vijana. Sio unaenda kusoma kuendesha ndege na wakati hata Gari ujui kuendesha na pesa yenyewe ya kuunga unga ni bora usome kozi kama electric engineering ambayo unaweza ukajiajiri
Bora ufanye ivyo kushauri awa vijana. Sio unaenda kusoma kuendesha ndege na wakati hata Gari ujui kuendesha na pesa yenyewe ya kuunga unga ni bora usome kozi kama electric engineering ambayo unaweza ukajiajiri
Bora ufanye ivyo kushauri awa vijana. Sio unaenda kusoma kuendesha ndege na wakati hata Gari ujui kuendesha na pesa yenyewe ya kuunga unga ni bora usome kozi kama electric engineering ambayo unaweza ukajiajiri