GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,768
Kuna wenzetu wamepoteza maisha katika kudai haki za
wanakusini kwa ujumla.
Nguvu ileile itumike kukusanya michango kama kifuta jasho ili kuzisaidia familia zao. Tukianzia na yule
shujaa wa kwanza Kutoka MIHAMBWE ambaye alikufa kutokana na ajali iliyotokea Mtwara wakati
wakielekea kwenye mkutano wa GAS WAR, pia waleNdugu zetu wa Masasi ambao nao walikufa katika
kupambana ili kuonyesha hisia zao juu ya sakata la Gesi.
Hizi ni njia nzuri za kuwaenzi ndugu zetu. Ikishakuwa tayari naomba nipatiwe namba ya kutuma huo mchango.
wanakusini kwa ujumla.
Nguvu ileile itumike kukusanya michango kama kifuta jasho ili kuzisaidia familia zao. Tukianzia na yule
shujaa wa kwanza Kutoka MIHAMBWE ambaye alikufa kutokana na ajali iliyotokea Mtwara wakati
wakielekea kwenye mkutano wa GAS WAR, pia waleNdugu zetu wa Masasi ambao nao walikufa katika
kupambana ili kuonyesha hisia zao juu ya sakata la Gesi.
Hizi ni njia nzuri za kuwaenzi ndugu zetu. Ikishakuwa tayari naomba nipatiwe namba ya kutuma huo mchango.