Ushauri kwa wadada ambao hawajaolewa

Ushauri kwa wadada ambao hawajaolewa

Kwa maisha ya kuunga unga sidhani kama utaeleweka, japo wengi wamekushukuru kwa ujumbe mzuri...!!
 
na pesa nayo ikiwemo....... huwez ukatenganisha mapenz na pesa hawa ni non identical twins
 
ukiona unapendwa na wengi basi dharau inazidi. Nimenote hapo nshawaona wa hivi. Tena si kupendwa ni kutamaniwa tu. Akipita mtaani anaskia miluzimiluzi anajiona yeye ndo yeye
 
Jamani kinadada mliopata nafasi yakusoma hii thread, kuweni makini kwenye mahusiano yenu, jitahidini kuchunguza ni nani ana pendo la dhati kwako, pesa zipo tuu lakini mapenzi ya kweli ndio kila kitu, ya nini kuwa na pesa lakini amani huna kila siku.

Usikurupuke , kuna wengine wakiona kwamba wanapendwa sana na wengi basi dharau zinakuwa nyingi.

Jamani siwafundishi ni ushauri tuuuuuuu.

asante ushauri mzuri! penzi la kweli ndo kilakitu!
 
Si ndio yule mrembo wa Bongo movie aliolewa na Pedegee mmoja lakini alipewa kichapo mpaka mimba ikatoka...na mwenyewe alitoka nduki...

Pesa zinawatoea puani...

Wenye pesa kama si kukushushia kichapo cha mara kwa mara basi ndio unakuta analala nje siku mbili tatu...no respect at all...na akiona bado unamg'angania anakuletea na wanawake ndani kabisa...ukiendelea kumg'ang'ania basi anakutwanga talaka...unless mwenye pesa huyo awe mzee alojichokea...ila hawa vijana so called pedegee jiandae kwa stress...

Lakini kama pesa mmezisaka wote...ni full heshima...hata kama atachiti (maana ni nature yao) ndio wale wanatoa masharti kuliko IMF kwa michepuko yao ili mother house asishtukie...
 
Back
Top Bottom