Ushauri kwa wadada ambao hawajaolewa

Ushauri kwa wadada ambao hawajaolewa

Mstaarabu wa ukwee

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2013
Posts
212
Reaction score
140
Jamani kinadada mliopata nafasi yakusoma hii thread, kuweni makini kwenye mahusiano yenu, jitahidini kuchunguza ni nani ana pendo la dhati kwako, pesa zipo tuu lakini mapenzi ya kweli ndio kila kitu, ya nini kuwa na pesa lakini amani huna kila siku.

Usikurupuke , kuna wengine wakiona kwamba wanapendwa sana na wengi basi dharau zinakuwa nyingi.

Jamani siwafundishi ni ushauri tuuuuuuu.
 
Sidhani kama mtu kuwa na upendo wa dhati tu inatosha,km mwanamme lazima ajiongeze kwenye nafasi yake kama kiongozi,utoaji,ulinzi etc
 
Si mchezo. Nadhani kunatatizo kubwa limekukuta
 
Mstaarabu.....good for you.....hebu jaribu kujifanya una pendo la dhati tu....karne hizi:what::what:
 
Back
Top Bottom