Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Mimi nilikua napendekeza serikali yetu kuunda mamlaka ya udhibiti elimu kama ilivyo ewura.sababu ya ushauri huu ni kwamba sasa hivi garama za shule zimepanda sana kila mtu anafungua shule yake na kupanga bei ya ada yeye mwenyewe.tukiwa na mamlaka hii tutaweza kupanga bei ya ada kwa shule za msingi na sekondari na pia kuweza kuhakiki ubora wa shule hizi.kama jinsi ewura ilivyo weza kuwadhibiti wafanya biashara ya mafuta kuweza kuwa na bei moja ka hapa nawapongeza sana ewura.
Naomba kuwasilisha wadau tujadili kwa mapana kwa sababu watanzania wanaosemesha watoto wanataabika sana na hizi ada za shule.kwa kuwa zile shule zetu za kata sikuhizi hamna elimu tena kule wengi tunakimbilia english media .
Naomba kuwasilisha wadau tujadili kwa mapana kwa sababu watanzania wanaosemesha watoto wanataabika sana na hizi ada za shule.kwa kuwa zile shule zetu za kata sikuhizi hamna elimu tena kule wengi tunakimbilia english media .