Huyu kijana anaitaji pongezi sana na ushauri uliyompatia ajitahidi afanye hivyo kwa kweli habari zake zimegusa hisia za watanzania walio wengi habar ya kina yule aliyekuwa na uzito mkubwa iliniumiza sana baada ya kusikia amefariki kwa mashirika ya ndege kutokumbeba kwenda india kwenye matibabu