Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,751
- 3,693
Nani?Natumai atakuwa mmoja ya hao ambao hawatorudi.
Mi nashauri aanze na mwanasheria mkuu wa serikali...angekua anafanya kazi yake mama angetangaza siku 21 badala ya 14Taifa lipo katika maombolezo makubwa ila kwa wakati huo huo maisha yanapaswa kuendelea.
Ni ushauri tu kwa Mh. Samia endapo ataamua kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, wa kwanza kumtoa awe Waziri wa Afya, Dr. Gwajima. Huyu mama amekuwa kituko kikubwa katika wizara na serikali.
Huyu ndio waziri wa afya wa kwanza aliefanya kazi kwa sifa zisizokuwa na tija yeyote katika wizara yake. Alidiriki mpaka kutuonyesha maisha yake ya binafsi wakilishana matunda na mumewe. Ni swala la wakati angetuonyeshea hata ya zaidi yasiyofaa.
Ana kauli za kuhemkwa akiwa anaongea kama vile kila jambo ni ugomvi. Hata akiwa anatoa speech unamuona kabisa kuwa hajatulia kutafakari anachosoma.
Endapo kungekuwa na Wizara ya miti shamba na uganga wa kienyeji, basi hakika ingemfaa hasa lakini sio Wizara ya Afya.
Taifa lipo katika maombolezo makubwa ila kwa wakati huo huo maisha yanapaswa kuendelea.
Ni ushauri tu kwa Mh. Samia endapo ataamua kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, wa kwanza kumtoa awe Waziri wa Afya, Dr. Gwajima. Huyu mama amekuwa kituko kikubwa katika wizara na serikali.
Huyu ndio waziri wa afya wa kwanza aliefanya kazi kwa sifa zisizokuwa na tija yeyote katika wizara yake. Alidiriki mpaka kutuonyesha maisha yake ya binafsi wakilishana matunda na mumewe. Ni swala la wakati angetuonyeshea hata ya zaidi yasiyofaa.
Ana kauli za kuhemkwa akiwa anaongea kama vile kila jambo ni ugomvi. Hata akiwa anatoa speech unamuona kabisa kuwa hajatulia kutafakari anachosoma.
Endapo kungekuwa na Wizara ya miti shamba na uganga wa kienyeji, basi hakika ingemfaa hasa lakini sio Wizara ya Afya.
... kubwa zaidi ni kushindwa kuishauri vyema Serikali kuhusu hatua sahihi za kuchukua dhidi ya janga la COVID-19; ona sasa lilivyomaliza viongozi na wapendwa wetu. Kama alishauri hakusikilizwa alipaswa kujiuzulu!
... huyu alitakiwa afukuzwe muda uleule akiwa ndani ya blanket na mumewe wakionesha dunia ujinga wao! That's not a professional way to combat COVID-19!
Umeanzisha mada kwa hili la Wizara ya Afya pekee?Taifa lipo katika maombolezo makubwa ila kwa wakati huo huo maisha yanapaswa kuendelea.
Ni ushauri tu kwa Mh. Samia endapo ataamua kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, wa kwanza kumtoa awe Waziri wa Afya, Dr. Gwajima. Huyu mama amekuwa kituko kikubwa katika wizara na serikali.
Huyu ndio waziri wa afya wa kwanza aliefanya kazi kwa sifa zisizokuwa na tija yeyote katika wizara yake. Alidiriki mpaka kutuonyesha maisha yake ya binafsi wakilishana matunda na mumewe. Ni swala la wakati angetuonyeshea hata ya zaidi yasiyofaa.
Ana kauli za kuhemkwa akiwa anaongea kama vile kila jambo ni ugomvi. Hata akiwa anatoa speech unamuona kabisa kuwa hajatulia kutafakari anachosoma.
Endapo kungekuwa na Wizara ya miti shamba na uganga wa kienyeji, basi hakika ingemfaa hasa lakini sio Wizara ya Afya.
AminaNinamuombea huyu mama awe jasiri na awe na uthubutu. Asichekee manyang'au.
YESU NI BWANA
Mbona umeongea kwa hasira kama vile alikukamata na dawa??Taifa lipo katika maombolezo makubwa ila kwa wakati huo huo maisha yanapaswa kuendelea.
Ni ushauri tu kwa Mh. Samia endapo ataamua kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, wa kwanza kumtoa awe Waziri wa Afya, Dr. Gwajima. Huyu mama amekuwa kituko kikubwa katika wizara na serikali.
Huyu ndio waziri wa afya wa kwanza aliefanya kazi kwa sifa zisizokuwa na tija yeyote katika wizara yake. Alidiriki mpaka kutuonyesha maisha yake ya binafsi wakilishana matunda na mumewe. Ni swala la wakati angetuonyeshea hata ya zaidi yasiyofaa.
Ana kauli za kuhemkwa akiwa anaongea kama vile kila jambo ni ugomvi. Hata akiwa anatoa speech unamuona kabisa kuwa hajatulia kutafakari anachosoma.
Endapo kungekuwa na Wizara ya miti shamba na uganga wa kienyeji, basi hakika ingemfaa hasa lakini sio Wizara ya Afya.
Ndio ambayo nimeona dosari. Kuwa huru kujazia na nyingine kama unazo.Umeanzisha mada kwa hili la Wizara ya Afya pekee?
Basi umekosea kichwa cha habari mkuu.
Ulikuwa na nafasi nzuri kutoa ushauri mpana zaidi kulingana na kichwa cha habari, lakini badala yake umejikita katika ugomvi wako na huyo mama wa afya.
Hapana, usidhani namtetea, kwa sababu hata simjui kabisa.
Kumbe jizi😜huwezi juwa, yawezekana pia
Hahahaaaa haya banahuwezi juwa, yawezekana pia