democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
Sina uhakika kama wewe ni member humu kwenye jamvi letu (jf),ila naamini kwa viongozi wa chama taifa tulionao humu mfano Dr.W.Slaa, Z.Z.Kabwe na mjumbe wa halmashauri kuu taifa Dr. Kitila Mkumbo watausoma huu ujumbe na kuufanyia kazi kwa kuufikisha kwako.Ikumbukwe pia huu ni mtazamo wangu na maoni yangu kaatika lengo letu lilelile moja la kuimarisha chama chetu (chadema).
Ndugu mwenyekiti ushauri wangu ni kuhusu huu utumiaji wa vazi la kombati.Ninachoweza kukumbuka ni kwamba kabla cdm hawajaanza kutumia hili vazi la kombati, hawa watu wa ugambani a.k.a nyinyiemu walikuwa ama hawana taarifa na vazi hilo au kama walikuwa nayo ni kaatika kipindi cha enzi za mwalimu.
Shida imekuja baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 kumalizika na hilo vazi kuonekana kuwapandisha chati cdm ndo hawa nyinyiemu wanaonekana kulishobokea sana hili vazi.Sasa hivi siyo shein wala shigela,si nape wala kikwete eti mpaka lusinde,mkama na pinda nao wanashona kombati aiseee, yaani ni full kombati umagambani.
Sasa ndugu mwenyekiti,mimi sijawahi kuwa na hofu juu ya uwezo wa ugunduzi au designing tulionao chama chetu a.k.a chama kubwa (cdm),mimi nilikuwa nashauri tupitishe mchakato wa kupata vazi jingine la kazi kwani nauona uwezekano wa hili vazi la kombati na malengo yake yote kufail.Kwa maana hakuna kitu kinachoweza kufanywa na hawa nyiyiemu halafu kikaendelea kumantain status ileile ya kuheshimika katika jamii yetu.Karibia sasa watu watashindwa kunotice tofauti na maana halisi ya matumizi ya kombati kama ilivyodhamiriwa mwanzo na cdm na hawa nyinyiem labda rangi tu kwamba za hawa ni za kijani na yetu kaki.
Mwisho nikutakie majukumu mema wewe pamoja na uongozi wote taifa na makamanda wote popote walipo iwe ndani au nje ya nchi hii,freedom is coming tommorow............peeeeeooooooppplllleeesss.....................
Ndugu mwenyekiti ushauri wangu ni kuhusu huu utumiaji wa vazi la kombati.Ninachoweza kukumbuka ni kwamba kabla cdm hawajaanza kutumia hili vazi la kombati, hawa watu wa ugambani a.k.a nyinyiemu walikuwa ama hawana taarifa na vazi hilo au kama walikuwa nayo ni kaatika kipindi cha enzi za mwalimu.
Shida imekuja baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 kumalizika na hilo vazi kuonekana kuwapandisha chati cdm ndo hawa nyinyiemu wanaonekana kulishobokea sana hili vazi.Sasa hivi siyo shein wala shigela,si nape wala kikwete eti mpaka lusinde,mkama na pinda nao wanashona kombati aiseee, yaani ni full kombati umagambani.
Sasa ndugu mwenyekiti,mimi sijawahi kuwa na hofu juu ya uwezo wa ugunduzi au designing tulionao chama chetu a.k.a chama kubwa (cdm),mimi nilikuwa nashauri tupitishe mchakato wa kupata vazi jingine la kazi kwani nauona uwezekano wa hili vazi la kombati na malengo yake yote kufail.Kwa maana hakuna kitu kinachoweza kufanywa na hawa nyiyiemu halafu kikaendelea kumantain status ileile ya kuheshimika katika jamii yetu.Karibia sasa watu watashindwa kunotice tofauti na maana halisi ya matumizi ya kombati kama ilivyodhamiriwa mwanzo na cdm na hawa nyinyiem labda rangi tu kwamba za hawa ni za kijani na yetu kaki.
Mwisho nikutakie majukumu mema wewe pamoja na uongozi wote taifa na makamanda wote popote walipo iwe ndani au nje ya nchi hii,freedom is coming tommorow............peeeeeooooooppplllleeesss.....................