Fredinho JF-Expert Member May 18, 2016 971 1,137 Dec 27, 2016 #21 Apime mwenyewe amuokoe mdingi au ajiokoe mwenyewe.
W Wolff Senior Member Dec 21, 2016 102 162 Dec 28, 2016 #22 Inabidi aliwe tu ..... Manaake hakuna namna!!
The JunioR New Member Jun 5, 2013 3 1 Dec 28, 2016 #23 Kutumia picha za watu kupost mambo ya kitoto humu sio akili, kwani likizo inaisha lini mrudi shule?
Pythagoras JF-Expert Member Sep 24, 2013 1,633 3,819 Dec 28, 2016 #24 story za kucopy kwenye page za Facebook hizi, upuuzi kama huu mods mnajaza server zenu tu, futilia mbali na member piga bann
story za kucopy kwenye page za Facebook hizi, upuuzi kama huu mods mnajaza server zenu tu, futilia mbali na member piga bann
afande kifimbo JF-Expert Member Aug 31, 2015 6,259 2,681 Dec 28, 2016 #25 shiit sa nini unachochanganyikiwa nacho....na hapa ushauri gani sasa unataka kama sio ***** tu...unataka ila unazuga...
shiit sa nini unachochanganyikiwa nacho....na hapa ushauri gani sasa unataka kama sio ***** tu...unataka ila unazuga...
Malafyale JF-Expert Member Aug 11, 2008 13,813 11,126 Dec 28, 2016 #26 adithi ya zamani sana Nikiwa form 1 tuliadhithiwa tukiwa darasani Mwakaleli sec na Mwl Mwailamula Imejirudia tena miaka 15 baadae Upuuzi mtupu!
adithi ya zamani sana Nikiwa form 1 tuliadhithiwa tukiwa darasani Mwakaleli sec na Mwl Mwailamula Imejirudia tena miaka 15 baadae Upuuzi mtupu!
mbeyakwetu JF-Expert Member Dec 17, 2016 719 393 Dec 28, 2016 #27 toa tu papuchi hiyo kwani bb anaogpa kufirisika
PLATO MAGELE JF-Expert Member Dec 7, 2012 203 54 Dec 28, 2016 #28 John-Q said: Shukran kwa hadithi yako, huyo dada namuona instagram anabinua kigoda tu, kwa siku anapost picha si chini ya tano. Click to expand... Ni kweli kabisa, hata mimi huwa naona picha zake. Kwa hiyo, hiyo ni hadithi ya kutunga tu.
John-Q said: Shukran kwa hadithi yako, huyo dada namuona instagram anabinua kigoda tu, kwa siku anapost picha si chini ya tano. Click to expand... Ni kweli kabisa, hata mimi huwa naona picha zake. Kwa hiyo, hiyo ni hadithi ya kutunga tu.
rodgerslelo Member Oct 18, 2015 19 11 Dec 28, 2016 #29 Mmh!.story za kwenye facebook zinakuja huku kwa magreat thinkers