Ushauri kwa mrembo huyu

Kutumia picha za watu kupost mambo ya kitoto humu sio akili, kwani likizo inaisha lini mrudi shule?
 
story za kucopy kwenye page za Facebook hizi, upuuzi kama huu mods mnajaza server zenu tu, futilia mbali na member piga bann
 
shiit sa nini unachochanganyikiwa nacho....na hapa ushauri gani sasa unataka kama sio ***** tu...unataka ila unazuga...
 
adithi ya zamani sana
Nikiwa form 1 tuliadhithiwa tukiwa darasani Mwakaleli sec na Mwl Mwailamula
Imejirudia tena miaka 15 baadae
Upuuzi mtupu!
 
Back
Top Bottom