USHAURI KWA MONDI

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,525
Najua kutafuta umaarufu ni kazi ila kuharubu umaarufu ni ndani ya dakika moja na ukabaki historia

Nimejaribu kukaa chini nimefikiria kiundan nimegundua kitu ambacho yawezekana DIAMOND hajakifahamu na kinaweza kumletea shida kubwa sana na kupoteza mashabiki na kuiona Tanzania chungu.

Kwanza nimpe pole kwa kuonesha hisia zake kwa watu kwa kuwa ni haki azungumze kile alichokuwa anakifkilia kwa kuwa Tanzania kila mtu ana uhuru wa kuongea kile anachokifikilia na siku zote huwezi ukatambua matokeo kabla ya mtihani.

Ila siku zote ukikosea kwa ushauri mzuri inatakiwa ufanye Masahihisho kabla ya mtihan Mkuu kuwadia..

Diamond usifikilie hata siku moja kuwa utaonekana msafi ikiwa unaomba msamaha kwa kaka kisha unataka kupambana na Dada.

Gwajima ana ile eruption reaction ila unaetaka kupambana nae ana extreamly reaction au continuesly reaction kitu ambacho ni kibaya zaid kuliko hata mwenye eruption reaction kwa kuwa yeye anazungumza kisha anaachana na wewe ila mange akikuamlia hadi uombe poo! ......!

Hapo kwa mwenye akili anacho alichokivuna kwa msamaha wa Gwajima.

Kwani japo kuna dhana kuwa amesamehe ila kwa mwenye akili msamaha huu umemwachia kijana huyu mchubuko mkubwa sana wa kisaikolojia na kwa mashabiki wake wakaribu kuna tenssion imewekwa kwao baada ya gwajima kudokeza maswala ya iman flani...... !

Neno hilo ni jeraha kubwa sana kwa mtu ambae ni public figure kama DIAMOND.
Pia neno hilo linaweza kuwa siraha ya Adui yake kupitia mwanya huo kuibua yote ambayo leo watanzania waliyategemea kuyasikia na ile hali tayar kila mtu yupo tenssion anataka kufaham what behind Diamond and illuminat !
Mi naona ipo haja ya kutumia neno la funika kombe mwanaharamu apite.

Diamond kubali kumwomba Msamaha Mangi kimambi hii itakusaidia pia kwan mange kwa sasa ana influence kubwa sana kwa watu pia ana maspy weng sana usipoziba ufa utajenga ukuta kijana wetu Diaomond.

Usibishane na Mange she is badgirl
Zaidi ya Gwajima ambae ww ulihisi kuwa ndie mbaya zaidi pia kumbuka ukiendelea kubishana na Mange usishangae siku moja hata Gwajima anaingilia na kukugeuza maji kama alivyosema.

AHSANTEN.
Mungu ibariki Tanzania Mungu leta amani Tanzania.
 
Kama ni kweli dai yupo kwenye u freemason nakubaliana na wewe na huo ushauri wako,,,,lakini kama hayupo huko sioni haja ya dai kumuomba msamaha mangi wala gwajima coz ule wimbo ameonesha hisia zake kwenye mambo yanayoendelea hapa bongo,
 
Wewe wa juzi, amuombe msamaha nani!?

Ha ha haaaaa

Umeanza kumfollow jana, ungeanza zamani wala usingefikiri yote hayo na kutoa ushauri unaoshia hapo ulipo.
 
Mange mbona tangu zamani tu anamnanga Chibu haina hata haja ya kuomba msamaha ila post yake ya leo hata haijapendeza angekaa tu kimya akashukuru kwa Gwajboy
 
Diamond sijui anakula maharage ya wap sku hizi!!

anajiona asha fika sana na Bashite wake, kwanza ana gombana karibu na kila mtu sku hizi.
 
acha kuongea vitu vya ajabu ajabu ww, mange mange ndo nan,

yaan daily mnataka mtu aimbe mawazo yenu, akiimba tofauti inakuwa ugomvi. kama diamond angekuwa wa kupotea angepotea kipind kile alivoifanyia kampeni CCM na kuwatungia wimbo kabisa

Ila yeye n msanii anabeba mawazo huru ya kisanii muache aimbe atakavyo, kama vile inavyotakiwa iwe huru kwa nay wa mitego even roma mkatoliki

wafuasi watachagua nan wa kumshabikia.
 
Mange huyu huyu anayeishi kwa child support? Huyu mange aliyeachwa na mzungu hana mbele wala nyuma, ebu usimpambanishe dai na vitu vya ajabu ajabu wewe mxieee tena funga domo lako lenye warts, mtamuogopa nyie mambwa koko wa insta
 
Back
Top Bottom