Ushauri kwa mh. Zitto Kabwe (mb)

Ushauri kwa mh. Zitto Kabwe (mb)

Status
Not open for further replies.

Glorelly

Member
Joined
Feb 8, 2012
Posts
12
Reaction score
9
KAMA ULIVYOTOLEWA NA DR. B. M. MOHAMED:
ENDELEA.........

"HIVI NDIVYO ALIVYOWAHI KUSEMA MH ZITTO KATIKA MAHOJIANO NA MWAKILISHI WA WANAJAMII FORUM MNAMO TAREHE 22 NONEMBA, 2012. NA MAONI YANGU KWA ZITTO NI HAYA HAPA CHINI:

Mwakilishi: Vipi madai kuwa unatumwa na CCM ili kupunguza nguvu ya CHADEMA? Kama si kweli unadhani kwanini watu wanakuona kama pandikizi ndani ya CHADEMA?

Zitto: Baadhi ya watu wanapandikiza chuki hizi kwa sababu zao wenyewe. Hawanisumbui maana najua ni kikundi kidogo cha watu wachache wenye malengo yao ovu. Wajue tu kwamba hawawezi kuwadanganya Watanzania ambao wanafanya maamuzi yao sio tokana na propaganda ila kutokana na matendo ya kila mmoja.

Onyo: Watu hao hawawezi kummaliza Zitto kisiasa bila kuiathiri CHADEMA maana the imaage of Zitto is so intimately intertwined with CHADEMA that you couldn’t attack Zitto without jeopardizing the image of Chadema, and vice versa.

Wanaoeneza sumu hii hawana nia njema wala mapenzi na CHADEMA. Hawaelewi siasa. Wanafurahisha maadui wa CHADEMA. Maadui wanawachochea kwa kuwapa habari za uwongo na wao wanadhani watammaliza Zitto. Huwezi kummaliza Zitto bila kuiathiri CHADEMA. Hawatafanikiwa.

Mwakilishi: Ni kweli kuwa una mkakati wa kuhamia CCM kabla ya 2015?

Zitto: Sijawahi wala kufikiria kuhamia CCM. Kama nilivyosema hapo awali, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote tofauti na CHADEMA. Namwomba mungu kuwa niondoke duniani nikiwa chama hiki hiki. Siamini katika kuhama vyama. Ninaamini katika mfumo imara wa vyama vingi nchini. Ninaamini katika demokrasia pana.

Maoni yangu kwa Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe, kwa kuzingatia majibu yake katika sehemu ya majibu yake ya tarehe 22 Nov, 2012 na maamuzi ya Kamati kuu ya CDM ya tarehe 22/11/13.

1. Wewe ukiwa ni mwanachama muhimu ambaye unatambua hila za baadhi ya watu kupandikiza chuki ili kuiathiri CHADEMA ni vema ukubaliane na maamuzi ya kamati kuu ya CDM kukuvua nyadhifa za uongozi, ili kutowapa fursa maadui wa CDM.

2. Pili pamoja na mchango wako mkubwa katika CDM ni vema utambue kuwa CDM kinaundwa na watu makini ambao mmekuwa mkishirikiana pamoja kwa kiwango cha juu (kabla ya wingu la kutiliana mashaka) kukijenga na kukiimarisha chama. Hivyo nadhani hata bila wewe chama kitazidi kuimarika na kusonga mbele.

3. Kama kweli unakipenda CDM(nguvu ya umma) kwa dhati ya moyo wako basi huna budi kuwapenda pia wanachadema wenzako na kuwa tayari kuheshimu maamuzi ya kamati kuu ya CDM ambayo inakufahamu fika(kuliko sisi). Ningekuwa mimi ndo wewe ningejitetea na kukiri madhaifu yangu na hata kuomba radhi inapobidi na kuomba niendelee kuwa mwanachama wa kawaida wa CDM nikiwa na nyadhifa zingine kama mbunge na mwenyekiti wa PAC.

4. Ni vema uwe mvumilivu kwani kama nia yako ni kuwa kiongozi wa nchi kupitia CDM, wana CHADEMA na Watanzania kwa ujumla watakutaka katika nafasi hiyo katika muda muafaka. Just have faith and work hard with your fellow CDM members to strenghthen the party that is bringing the new hope to the majority of frustruted Tanzanians."

Mwisho wa Nukuu.


 
KAMA ULIVYOTOLEWA NA DR. B. M. MOHAMED:
ENDELEA.........

"HIVI NDIVYO ALIVYOWAHI KUSEMA MH ZITTO KATIKA MAHOJIANO NA MWAKILISHI WA WANAJAMII FORUM MNAMO TAREHE 22 NONEMBA, 2012. NA MAONI YANGU KWA ZITTO NI HAYA HAPA CHINI:

Mwakilishi: Vipi madai kuwa unatumwa na CCM ili kupunguza nguvu ya CHADEMA? Kama si kweli unadhani kwanini watu wanakuona kama pandikizi ndani ya CHADEMA?

Zitto: Baadhi ya watu wanapandikiza chuki hizi kwa sababu zao wenyewe. Hawanisumbui maana najua ni kikundi kidogo cha watu wachache wenye malengo yao ovu. Wajue tu kwamba hawawezi kuwadanganya Watanzania ambao wanafanya maamuzi yao sio tokana na propaganda ila kutokana na matendo ya kila mmoja.

Onyo: Watu hao hawawezi kummaliza Zitto kisiasa bila kuiathiri CHADEMA maana the imaage of Zitto is so intimately intertwined with CHADEMA that you couldn’t attack Zitto without jeopardizing the image of Chadema, and vice versa.

Wanaoeneza sumu hii hawana nia njema wala mapenzi na CHADEMA. Hawaelewi siasa. Wanafurahisha maadui wa CHADEMA. Maadui wanawachochea kwa kuwapa habari za uwongo na wao wanadhani watammaliza Zitto. Huwezi kummaliza Zitto bila kuiathiri CHADEMA. Hawatafanikiwa.

Mwakilishi: Ni kweli kuwa una mkakati wa kuhamia CCM kabla ya 2015?

Zitto: Sijawahi wala kufikiria kuhamia CCM. Kama nilivyosema hapo awali, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote tofauti na CHADEMA. Namwomba mungu kuwa niondoke duniani nikiwa chama hiki hiki. Siamini katika kuhama vyama. Ninaamini katika mfumo imara wa vyama vingi nchini. Ninaamini katika demokrasia pana.

Maoni yangu kwa Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe, kwa kuzingatia majibu yake katika sehemu ya majibu yake ya tarehe 22 Nov, 2012 na maamuzi ya Kamati kuu ya CDM ya tarehe 22/11/13.

1. Wewe ukiwa ni mwanachama muhimu ambaye unatambua hila za baadhi ya watu kupandikiza chuki ili kuiathiri CHADEMA ni vema ukubaliane na maamuzi ya kamati kuu ya CDM kukuvua nyadhifa za uongozi, ili kutowapa fursa maadui wa CDM.

2. Pili pamoja na mchango wako mkubwa katika CDM ni vema utambue kuwa CDM kinaundwa na watu makini ambao mmekuwa mkishirikiana pamoja kwa kiwango cha juu (kabla ya wingu la kutiliana mashaka) kukijenga na kukiimarisha chama. Hivyo nadhani hata bila wewe chama kitazidi kuimarika na kusonga mbele.

3. Kama kweli unakipenda CDM(nguvu ya umma) kwa dhati ya moyo wako basi huna budi kuwapenda pia wanachadema wenzako na kuwa tayari kuheshimu maamuzi ya kamati kuu ya CDM ambayo inakufahamu fika(kuliko sisi). Ningekuwa mimi ndo wewe ningejitetea na kukiri madhaifu yangu na hata kuomba radhi inapobidi na kuomba niendelee kuwa mwanachama wa kawaida wa CDM nikiwa na nyadhifa zingine kama mbunge na mwenyekiti wa PAC.

4. Ni vema uwe mvumilivu kwani kama nia yako ni kuwa kiongozi wa nchi kupitia CDM, wana CHADEMA na Watanzania kwa ujumla watakutaka katika nafasi hiyo katika muda muafaka. Just have faith and work hard with your fellow CDM members to strenghthen the party that is bringing the new hope to the majority of frustruted Tanzanians."

Mwisho wa Nukuu.


 
Binafsi namkubali sana zzk na kitila, napenda sana kama wangefanya kama ulivowashauri!
 
Umejitahidi Kuwa Muuliza Maswali Magumu na Kujijibu Mwenyewe; Lakni kwa Inavyooneka ZZK Hawezi Kuufuta Ushauri wako Maana Malengo yake 2015 Hayataweza Kutimia akiwa Mfuasi wa Kawaida wa CHADEMA. Labda Ungemshauru Aende CCM, maana kila anayefukuzwa upinzani kwa Usaliti Anaelekea uwa ni CCM na Kufarijiwa kuwa Ameingia kwa Chama Cha Wote. Lakini Tujuavyo CCM inawenyewe na Umaarufu aliokuwa anaupata ZZK akiwa CHADEMA Hauwezi Kuonekana ndani ya CCM, kwa maana Maamuzi ya CCM ni ya Jumla na Hawawezi Kumruhusu eti Aende Uswiss Kufutilia Fedha za Mafisadi ( WanaCCM).
 
3. Kama kweli unakipenda CDM(nguvu ya umma) kwa dhati ya moyo wako basi huna budi kuwapenda pia wanachadema wenzako na kuwa tayari kuheshimu maamuzi ya kamati kuu ya CDM ambayo inakufahamu fika(kuliko sisi). Ningekuwa mimi ndo wewe ningejitetea na kukiri madhaifu yangu na hata kuomba radhi inapobidi na kuomba niendelee kuwa mwanachama wa kawaida wa CDM nikiwa na nyadhifa zingine kama mbunge na mwenyekiti wa PAC.

4. Ni vema uwe mvumilivu kwani kama nia yako ni kuwa kiongozi wa nchi kupitia CDM, wana CHADEMA na Watanzania kwa ujumla watakutaka katika nafasi hiyo katika muda muafaka. Just have faith and work hard with your fellow CDM members to strenghthen the party that is bringing the new hope to the majority of frustruted Tanzanians."

Mwisho wa Nukuu.


Nimependa hizi quotation mbili! Na wale wanao piga majungu kwa Zitto inawafaa
 
Last edited by a moderator:
Dah! bado sijapata cha kuongea, hili limenisahaulisha machungu ya mgao wa umeme, . Pesa zetu za kodi zina tuchezea akili kweli kweli. hapa dawa ni kugomea mpaka kodi za majani ya chai tuone watapata wapi hela za kuwahujumu wakina zito
 
kesho pengne ikawa hivyo ama ikawa tofauti...naisubir kesho kwa hamu zote.
 
naungana na wewe 100% ushauri makini kabisa namuamba kamanda wetu auchukue ulivyo bado tunampenda na tunapenda kuendelea nae ktk kufikia malengo ya kuwakomboa watanzania
 
Ninachojua mimi sababu za kumfukuza Zitto kwenye chama ni nyingi mno. walichokisema kamati kuu hadi sasa wamembeep tu, bado hawajampigia. Ngoja tusubiri kesho atasema nini na rafiki yake ambaye hawajakutana barabarani Dr Kitila.
 
Zzk akafie mbali, msaliti na mtaka vyeo huyo. Kwa maamuzi haya CHADEMA wachukue nchi hata leo. Maana mafisadi watapata shida sana, hawataangalia huyu ni nani wala nini.
 
For sure Zitto Kabwe will move on ... i see him heading to ,NCCR where do you see him going?
 
Aende na wakae wakijua ni msaliti wa watz wote
Zitto ameua demokrasia nchini
soma hapo chini

Ndiyo CCM yako inavyofanya

Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " Mwigulu Nchemba " <shimbi85@gmail.com> >
To: "Emmanuel Nchimbi" < nchimbie@yahoo.com >

On Sunday, November 17, 2013 6:15:44 PM, Mwigulu Nchemba <shimbi85@gmail.com> wrote:

sawa boss,,jumatano saa moja imekaa safi kabisa. tuchape kazi. ntakupa update nikitoka kuonana na zzk. mh. Lukuvi namtafuta punde

MN

2013/11/17 Emmanuel Nchimbi < nchimbie@yahoo.com >

bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Lukuvi ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. zitto na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, Emma

Sent from my ipad

On Sunday, November 17, 2013 5:55:02 PM, Mwigulu Nchemba <shimbi85@gmail.com> wrote:

Naona vijana wametekeleza shuguli vizuri, na cham imewakilishwa vizuri sana. Msangi jembe, sasa tutaipata katiba tunayoitaka hicho kikwazo kikishaondolewa bila shuruti. Alafu upande wa pili (cdm) inabidi tuongeze dau ili shujaa zzk abakie ndani, nasikia kuna mkakati wa kumtoa kwenye kinyang'anyiro. tujitahidi sana sana kumsaidia kujenga mtandao wa ndani apate u wenyekiti. taarifa zaidi za ndani zinasema wkamba wanajaribu kumfukuza kabla ya mwisho wa mwaka, tuendeleze vita hilo lisitokee, naona kundi ndani ya bavicha hasa hiyo mitoto inafanya sana mashambulizi lakini hawataweza. inabidi wadhibitiwe. rockup wiki mbili itawasambaratisha. Tuongeze kasi kwa wajumbe wa kamati kuu. wengi wao ni njaa sana nazani 5mil kila moja inatosha kabisa.wananifata sana kuomba hela ili wasaidie nakutana na ZZK baadae plae pa siku ile, unaweza kufika saa 1 jioni

MN

Endeleeni ila mtaula wa chuya​


 
Ushauri .kama zito unaamini uko sahihi usikubali kufanywa kafara kirahisi kwa kujivua uanachama.
Umetumia muda wako na nguvu zako nyingi kukitetea na kukijenga chama chako.
Uwepo wako na umakini na weledi ulionao wa mambo ya siasa umekijenga na kusaidia mwenekano wa chadema usiwe ule wa fujo fujo kwa kuwa mbali na wenye muelekeo hio.
Wengine tunaamini kuwa ni mmoja kati ya viongozi watarajiwa ww nchi hii .
Simama imara kupigana na wale wanaofanya vyama mali yao na familia zao.utaratibu huu ndio unarudisha nyuma democrasia hii ya vyama vingi kumefanya watu wengi kutoamini opposition na kuendelea kwa nguvu za ccm .
Umekua ukipinga mara nyingi chadema kuhusishwa na udini na ukabila lakini kama hilo halipo kama unavo amini basi kunaa tazizo la Udugunazation ambao lazima lipigwe vita.
Simama imara usikubali kuanguka kirahisi .
Kujitoa kutakidhoofisha chadema sana na itakua pigo kubwa kwa siasa za upinzani nchi hii .ulisema umetoka kigoma na hukukimbia ila uliaga hivo tunajua hutakua goi goi kukubali chadema kipotelee kwenye lindi la udini ukabila au udugu dugu
 
Kokote atakapokwenda he will continue to be a problem as long as he is sees himself above everyone else. He has to learn to be a team player.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom