Wakwibhala
New Member
- Jul 17, 2022
- 1
- 1
Wakuu nina ndugu yangu Amesomea Ualimu Hisabati level ya Degree.G.P.A 3.3 mwajiliwa sekondari.Na amejiendeleza Sasa Ana masters ya Applied mathematics and computational science G.P.A 4.3 .Anaomba ushauri vyuoni hawezi kufundisha kwasababu ya G.P.A ya undergraduate.Je an anaweza kufundisha kwenye vyuo vya kati ,Veta,Au kufanya kazi kwenye mashirika ya Umma.Naomba kuwasilisha