::
Mwenye sikio asikie =
Ubarikiwe pia kwa ujumbe mzuri,
Mungu akuongoze vyema uendelee kutoa ujumbe wenye kuelimisha kama huu.
Napenda sana wewe na ladyfurahia mnavyomtukuza Mungu na kumshirikisha katika mambo mbalimbali ya kujenga jamii (familia) iliyo bora sasa na baadae.
Ubarikiwe pia kwa ujumbe mzuri,
Mungu akuongoze vyema uendelee kutoa ujumbe wenye kuelimisha kama huu.
Napenda sana wewe na ladyfurahia mnavyomtukuza Mungu na kumshirikisha katika mambo mbalimbali ya kujenga jamii (familia) iliyo bora sasa na baadae.
Bujibuji leo nmeamini kuna hackers wazuri sio wale wa Passion Lady.
Big up bujibuj,ila vibint vya cku hz hasa vya mujin vnaomba vipate mme handsom na mwenye umatemate!!kwa 2co mahendsamu kaz 2nayo kwelkwel!!
wewe dawa yako limbwata la panzi tu
we ngoja lady furahia akuandalie!!
Limbwata langu naandaliwa na shem wangu wa ukweh Lady doctor..utantaka!??
manemane na uvumbaMkuu, naomba kujua maana ya neno hili..
Limbwata langu naandaliwa na shem wangu wa ukweh Lady doctor..utantaka!??
manemane na uvumba
Limbwata langu naandaliwa na shem wangu wa ukweh Lady doctor..utantaka!??
hahahaaaa!!namuaminia pacha wangu
lazima achanganye na mlenda wa bamia!
sikuelewi hvi unaendelea kunitenda siyo, oky that's good,