Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni muhimu sana kwa Taifa hili,ijapo una majukumu mengi ila jaribu kuizunguka nchi yako pia pindi unapopata mda
Ushauri huu kwa Mnyika hautekelezeki. Kama anashindwa kuzunguka jimboni kwake ndo ataweza kuzunguka nchi? Huyu dogo bure kabisa!......
Ushauri huu kwa Mnyika hautekelezeki. Kama anashindwa kuzunguka jimboni kwake ndo ataweza kuzunguka nchi? Huyu dogo bure kabisa!
mbopo utakuwa umerongwa unataka azunguke jimbo gani kama aliporudi tu kutoka dodoma alianza ziara ya kata nane za jimboni kwake na moja alifanya na waziri wa maji kwa ajili ya kufungua visima vya maji. maeneo aliyozuru ktk ziara ni kama yafuatayo tarehe 1/9 alikua kata ya msigani, 2/9 kata ya mbezi, tarehe 14/9 kata ya mburahati, tar 15/9 kata makuburi, 16/9 kata ya kwembe, tar 21/9 kata ya mabibo, tar 22/9 kata ya goba na tar 23/9 kata ya kimara na tarehe 4-5/10 alifanya ziara na waziri wa maji maghembe kuzindua visima vya maji kwa kata ya mburahati, kimara na saranga. na akirudi kutoka dodoma katika bunge la mwezi huu atamalizia ziara kwa kata sita zilizobaki ya ubungo, makurumla, manzese, saranga, kibamba na sinza. naomba uwepo katika ziara itakayoanza ktkti ya mwezi wa 11. karibu sana.Ushauri huu kwa Mnyika hautekelezeki. Kama anashindwa kuzunguka jimboni kwake ndo ataweza kuzunguka nchi? Huyu dogo bure kabisa!