Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Akijaliwa busara, ndani ya muda mfupi uliobaki ateue mawaziri kwa kuchanganya na wa upinzani, vinginevyo mda uliobaki utakuwa mchungu kwake. Viongozi wa CCM wengi ni wanafiki, wapenda rushwa na uchafu wote ni wa kwao, ili hao wachache waweze kutenda kazi sawasawa inabidi wachanganyikane na viongozi kutoka vyama vya upinzani. Mnasemaje waungwana?