1. Upendo halisi na wa dhati hauna conditions, mtu unayempenda kweli na shati huwezi muona kwenye taabu ukasema ukinikubali ndio ntakupa hiki na kile, ila utafanya tu maana ukipenda mtu huwezi vumilia kuona anapata shida.
2. Upendo wa dhati hautazami material things kama priority, wote KE na ME wameweka Materials mbele kuliko upendo. Huyo rafikiyo amechanganywa na alivyonavyo jamaa na jamaa nae kajua rafikiyo ananjaa so anamuonesha ambavyo anakosa.
Awe makini sana. Asizidi haribu mambo. Marriage is more of love kuliko materials. Ampende mtu alivyo si vitu vyake. Afadhali abaki kuwa mchepuko wake apate atakacho ila abaki na ndoa yake kuliko kuharibu ndoa kwa asiyempenda maana na kwa huyo atatoka tu.