Ushauri kwa huyu mdogo wangu

Ushauri kwa huyu mdogo wangu

abdukarim

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2017
Posts
476
Reaction score
593
Nawasalimia ndugu zanguni,mm nina mdogo wangu ambae nimeamza kumsomesha akiwa darasa la tatu mpaka la saba akafaulu nikampeleka shule moja ya private hapo Dar shule ya Mbezi high.Sasa amemaliza kidato cha nne hakufaulu ila amepata 4 ya 31 kwa maana yakuwa na D nne na F tatu.Alikuwa anachukuwa mchepuko wa biashara na akapata hicho alicho kipata

Sasa kumrudisha shule sitaki nae hataki wala masuala ya kurist hayataki kulingana na suala la uchumi lilivyo.Kumbuka yeye ni mtoto wakike huwa wanakata tamaa mapema.Ninachoomba ni ushauli naweza mpeleka chuo?je anaweza soma course gani na wap ?nisaidieni jamani nakosa la kufanya.Nitashukuru kwa ushirikiano wenu.
 
Mfungulie Biashara yoyote anayoiweza, au mpeleke CBE au I.T hata hata course za kuuza madawa ya muhimu ya binadamu
 
Nawasalimia ndugu zanguni,mm nina mdogo wangu ambae nimeamza kumsomesha akiwa darasa la tatu mpaka la saba akafaulu nikampeleka shule moja ya private hapo Dar shule ya Mbezi high.Sasa amemaliza kidato cha nne hakufaulu ila amepata 4 ya 31 kwa maana yakuwa na D nne na F tatu.Alikuwa anachukuwa mchepuko wa biashara na akapata hicho alicho kipata

Sasa kumrudisha shule sitaki nae hataki wala masuala ya kurist hayataki kulingana na suala la uchumi lilivyo.Kumbuka yeye ni mtoto wakike huwa wanakata tamaa mapema.Ninachoomba ni ushauli naweza mpeleka chuo?je anaweza soma course gani na wap ?nisaidieni jamani nakosa la kufanya.Nitashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mkuu mtafutie mume tu aolewe
 
Nawasalimia ndugu zanguni,mm nina mdogo wangu ambae nimeamza kumsomesha akiwa darasa la tatu mpaka la saba akafaulu nikampeleka shule moja ya private hapo Dar shule ya Mbezi high.Sasa amemaliza kidato cha nne hakufaulu ila amepata 4 ya 31 kwa maana yakuwa na D nne na F tatu.Alikuwa anachukuwa mchepuko wa biashara na akapata hicho alicho kipata

Sasa kumrudisha shule sitaki nae hataki wala masuala ya kurist hayataki kulingana na suala la uchumi lilivyo.Kumbuka yeye ni mtoto wakike huwa wanakata tamaa mapema.Ninachoomba ni ushauli naweza mpeleka chuo?je anaweza soma course gani na wap ?nisaidieni jamani nakosa la kufanya.Nitashukuru kwa ushirikiano wenu.

Kwanza nikupongeze kwa kuonyesha Upendo wake Kwake kwa Kumsomesha japo hajafanikiwa huko Kiufaulu.

Pili acha kujisikia vibaya na kusema kuwa huyo Mtoto amefeli kwani amini kuwa huwa kuna maisha zaidi ya Mtu Kufaulu Kidato cha Nne au cha Sita au Chuo Kikuu na huyo unayedhani leo amefeli unaweza ukashangaa akaja kuwa msaada mkubwa Kwako kuliko hata wale ambao walifaulu na uliwasifia.

Tatu na mwisho nakuomba tuliza ' munkari ' wako Kwanza kisha tafuta muda kaa nae huyo Mdogo wako na muulize Yeye anapendelea kuja kuwa nani katika maisha yake na akikujibu basi msomeshe hicho Kitu alichokuambia na hatokuangusha tena kwani Kisaikolojia kuna Wanafunzi wengine hawajabarikiwa kuwa Wanataaluma ila wanaweza wakawa Wabobezi / Wataalam wa Fani zingine ambazo zinahitaji Ubunifu na zikawafanikisha mno maishani.

Nakutakia kila la kheri na huyo Mdogo wako. Usikate tamaa, usiumie na usiogope msaidie na ipo siku hutojutia kumsomesha Kwako na utakuja Kufurahi.
 
Kufeli kidato cha haina maana mtu hana uwezo wa kuendelea kusoma, sometimes inatokea tu Mtihani Umetoka tofauti na mtu alivosoma.

Mm nakushauri mpeleke asomee course ya hotel, hii Ina ajira ya haraka zaidi kuliko course nyingine
 
My dear friend! Prof. Kabudi ana P.h.D ila anayoyafanya sasa kama hajawahi kusoma, so kitu unachotakiwa kuelewa ni kwamba kuna maisha yanayozidi vyeti! Mfundishe masuala muhimu ya maisha mpe mwongozo na mpe chaguzi, kwamba kuna kozi kadhaa sasa yeye ndo achague ipi itamfaa; then aendelee na mapambano!!
 
Kama anataka kuwa mtendaji au afisa maendeleo ya jamii mpeleke chuo cha serekali za mitaa hombolo
Kama anataka kuwa mwasibu mpeleke CBE
Kama anataka kuwa mtu wa IT mlege udomo aje arun code mpk achanganyikiwe au mpeleke NIT
Kama anataka kuwa fundi mlete hai chuo cha jimboni
Kama anataka kuwa mwalimu mlete patandi
 
Ushauri Bora umpeleke Veta akapate elimu practical itakayo msaidia
Mfano cherehani etc, baada ya hapo mnunulie cherehani, tua mzigo akishindwa ni yeye
 
Nawasalimia ndugu zanguni,mm nina mdogo wangu ambae nimeamza kumsomesha akiwa darasa la tatu mpaka la saba akafaulu nikampeleka shule moja ya private hapo Dar shule ya Mbezi high.Sasa amemaliza kidato cha nne hakufaulu ila amepata 4 ya 31 kwa maana yakuwa na D nne na F tatu.Alikuwa anachukuwa mchepuko wa biashara na akapata hicho alicho kipata

Sasa kumrudisha shule sitaki nae hataki wala masuala ya kurist hayataki kulingana na suala la uchumi lilivyo.Kumbuka yeye ni mtoto wakike huwa wanakata tamaa mapema.Ninachoomba ni ushauli naweza mpeleka chuo?je anaweza soma course gani na wap ?nisaidieni jamani nakosa la kufanya.Nitashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mnunulie mtumbwi awe mvuvi
 
Kama anataka kuwa mtendaji au afisa maendeleo ya jamii mpeleke chuo cha serekali za mitaa hombolo
Kama anataka kuwa mwasibu mpeleke CBE
Kama anataka kuwa mtu wa IT mlege udomo aje arun code mpk achanganyikiwe au mpeleke NIT
Kama anataka kuwa fundi mlete hai chuo cha jimboni
Kama anataka kuwa mwalimu mlete patandi
Na wewe umetoa ushauri???
 
Wanafunzi wengi wa kidato cha nne wamekuwa waoga kurudia mitihani yao baada ya kutofanya vizuri hii ni kutokana kutokuwapo watu was karibu wa kuwatia moyo na hamasa kuwa wanaweza..


Binafsi sikufanya vizuri kwa Mara ya kwanza matokeo ya kidato cha nne kunasababu
nyingi nyuma yake,sikuweza kujiunga na vyuo vya kati kutokana uwezo wa kiuchumi ila nikaona njia sahii ni kurudia mtihani nikafanya hivyo na kutia bidii na kufaulu na kujiunga na kidato cha tano na sita.

[HASHTAG]#DoSmallThingsInGreatWay[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom