kiboko samson
Member
- Oct 14, 2013
- 73
- 74
Jamani anaefahamu kuhusu foundation course ya kujiunga na OPEN UNIVSRSTY kwa mwenye GPA ya chini ya 3.5 ufafanuzi kuhusu hiyoo course ipoje nainaendeshwajee
Swali lako halijaeleweka!! Ukiwa na GPA ya chini ya 3.5 hiendi chuo kikuu chochote Tanzania hii hata hiyo OUT utaisikia tu.Jamani anaefahamu kuhusu foundation course ya kujiunga na OPEN UNIVSRSTY kwa mwenye GPA ya chini ya 3.5 ufafanuzi kuhusu hiyoo course ipoje nainaendeshwajee
kwel chuo kikuu mtakisikia kweny bomba omben warudishe GPA yenu 2.7 vinginevyoo tafuta plan BJamani anaefahamu kuhusu foundation course ya kujiunga na OPEN UNIVSRSTY kwa mwenye GPA ya chini ya 3.5 ufafanuzi kuhusu hiyoo course ipoje nainaendeshwajee