USHAURI KWA CHADEMA: Mkitaka kubaki historia ingieni kwenye uchaguzi bila Tume Huru

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Kwa mazingira ya sasa chini ya utawala wa rais Magufuli, kufanya uchaguzi bila kwanza kuhakikisha kuna Tume Huru ya Uchaguzi ni kukipoteza chama mlichokijenga kwa damu.

Kama hamkujifunza kwenye chaguzi ndogo za marudio na uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi mtakuwa ni ma tabulalasa na hamtapata mwalimu mwingine wa kuwafundisha labda aje malaika.

Nimemsikia Tundu Lissu akitangaza kugombea Urais, sawa ni haki yake, lakini bila kuhakikisha uwepo wa tume huru, namsikitikia anaweza kuongeza machungu ya risasi yaliyoanza kupona, kwa vile hakuna Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri wala msimamizi wa NEC aliye tayari kupoteza kazi yake kwa kumtangaza mpinzani kashinda.

Pamoja na ukweli kwamba CCM ina hali ngumu kisiasa ndani na nje ya chama, lkn kwao uchaguzi huu ni wa kufa na kupona, wanajua jinsi mgombea wao alivyopita kwa shida uchaguzi uliopita, wanajua fika wananchi walivyo na hali mbaya kimaisha, wanajua katiba inavyosiginwa, jinsi utawala wa sheria unavyopindwa, unyanyasaji, utekaji na jinsi uchumi ulivyoyumba.

Endapo mtaingia bila Tume Huru, nawahakikishia mkipata wabunge 5 na madiwani 50 nchi nzima, basi mkatambike na kujifukiza.

Ni hiyari yenu kusuka au kunyoa, muingie kwenye uchaguzi mbaki chama kisicho na mbunge hata mmoja au mpiganie kwanza Tume Huru.

Sabato njema watu wa Mungu.
 
Kwa mazingira ya sasa chini ya utawala wa rais Magufuli, kufanya uchaguzi bila kwanza kuhakikisha kuna Tume Huru ya Uchaguzi ni kukipoteza chama mlichokijenga kwa damu.

Kama hamkujifunza kwenye chaguzi za marudio na uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi mtakuwa ni ma tabulalasa na hamtapata mwalimu mwingine wa kuwafundisha labda aje malaika.

Nimemsikia Tundu Lissu akitangaza kugombea Urais, sawa ni haki yake, lakini bila kuhakikisha uwepo wa tume huru, namsikitikia anaweza kuongeza machungu ya risasi yaliyoanza kupona. Kwa vile hakuna Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri wala msimamizi wa NEC aliye tayari kupoteza kazi yake kwa kumtangaza mpinzani kashinda.

Pamoja na ukweli kuwa CCM ina hali ngumu kisiasa ndani na nje ya chama, lkn kwao uchaguzi huu ni wa kufa na kupona, wanajua jinsi mgombea wao alivyopita kwa shida uchaguzi uliopita, wanajua fika wananchi walivyo na hali mbaya kimaisha na jinsi uchumi ulivyoyumba.

Endapo mtaingia bila Tume Huru, nawahakikishia mkipata wabunge 5 na madiwani 50 nchi nzima, basi mkatambike na kujifukiza.

Ni hiyari yenu kusuka au kunyoa, muingie kwenye uchaguzi mbaki chama kisicho na mbunge hata mmoja au mpiganie kwanza Tume Huru.

Sabato njema watu wa Mungu.
Magu akitaka kuleta machafuko afanye uhuni kwenye Uchaguzi Mkuu , Uchafuzi wa mitaaa walitulia kimya ila huu GE machafuko yataanzia hapo.
 
Naunga mkono hoja bora kuingia kwanza barabarani kudai tume huru ya uchaguzi na katiba mpya muda mzuri ni sasa chadema&ACT vitakuwa historia bora tuanzishe resistance kuliko kuingia kichwa kichwa kwenye uchaguzi.
 
Kwa mazingira ya sasa chini ya utawala wa rais Magufuli, kufanya uchaguzi bila kwanza kuhakikisha kuna Tume Huru ya Uchaguzi ni kukipoteza chama mlichokijenga kwa damu.

Kama hamkujifunza kwenye chaguzi ndogo za marudio na uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi mtakuwa ni ma tabulalasa na hamtapata mwalimu mwingine wa kuwafundisha labda aje malaika.

Nimemsikia Tundu Lissu akitangaza kugombea Urais, sawa ni haki yake, lakini bila kuhakikisha uwepo wa tume huru, namsikitikia anaweza kuongeza machungu ya risasi yaliyoanza kupona, kwa vile hakuna Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri wala msimamizi wa NEC aliye tayari kupoteza kazi yake kwa kumtangaza mpinzani kashinda.

Pamoja na ukweli kwamba CCM ina hali ngumu kisiasa ndani na nje ya chama, lkn kwao uchaguzi huu ni wa kufa na kupona, wanajua jinsi mgombea wao alivyopita kwa shida uchaguzi uliopita, wanajua fika wananchi walivyo na hali mbaya kimaisha, wanajua katiba inavyosiginwa, jinsi utawala wa sheria unavyopindwa, unyanyasaji, utekaji na jinsi uchumi ulivyoyumba.

Endapo mtaingia bila Tume Huru, nawahakikishia mkipata wabunge 5 na madiwani 50 nchi nzima, basi mkatambike na kujifukiza.

Ni hiyari yenu kusuka au kunyoa, muingie kwenye uchaguzi mbaki chama kisicho na mbunge hata mmoja au mpiganie kwanza Tume Huru.

Sabato njema watu wa Mungu.
Chadema ijipange kwa ajili ya 2025!
 
Kwa chadema ya leo hata ufanyike uchaguzi wa kunyosha mikono na kuhesabu hadhari inagalagazwa tu. Vijijini wanamkubali JpM, na hii COVID 19 imempa kiki na kukiza.isha cdm wasome alama huwezi kutaka kuwa lockdown walalahoi ambao ni wengi
 
Kwa mazingira ya sasa chini ya utawala wa rais Magufuli, kufanya uchaguzi bila kwanza kuhakikisha kuna Tume Huru ya Uchaguzi ni kukipoteza chama mlichokijenga kwa damu.

Kama hamkujifunza kwenye chaguzi ndogo za marudio na uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi mtakuwa ni ma tabulalasa na hamtapata mwalimu mwingine wa kuwafundisha labda aje malaika.

Nimemsikia Tundu Lissu akitangaza kugombea Urais, sawa ni haki yake, lakini bila kuhakikisha uwepo wa tume huru, namsikitikia anaweza kuongeza machungu ya risasi yaliyoanza kupona, kwa vile hakuna Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri wala msimamizi wa NEC aliye tayari kupoteza kazi yake kwa kumtangaza mpinzani kashinda.

Pamoja na ukweli kwamba CCM ina hali ngumu kisiasa ndani na nje ya chama, lkn kwao uchaguzi huu ni wa kufa na kupona, wanajua jinsi mgombea wao alivyopita kwa shida uchaguzi uliopita, wanajua fika wananchi walivyo na hali mbaya kimaisha, wanajua katiba inavyosiginwa, jinsi utawala wa sheria unavyopindwa, unyanyasaji, utekaji na jinsi uchumi ulivyoyumba.

Endapo mtaingia bila Tume Huru, nawahakikishia mkipata wabunge 5 na madiwani 50 nchi nzima, basi mkatambike na kujifukiza.

Ni hiyari yenu kusuka au kunyoa, muingie kwenye uchaguzi mbaki chama kisicho na mbunge hata mmoja au mpiganie kwanza Tume Huru.

Sabato njema watu wa Mungu.
Sasa dakika hizi za majeruhi wataipata tume huru kwa vipi?

Kama hakuna mbinu nyingine, tutulie tu mambo yeshakwisha kitambo.
 
Kwa mazingira ya sasa chini ya utawala wa rais Magufuli, kufanya uchaguzi bila kwanza kuhakikisha kuna Tume Huru ya Uchaguzi ni kukipoteza chama mlichokijenga kwa damu.

Kama hamkujifunza kwenye chaguzi ndogo za marudio na uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi mtakuwa ni ma tabulalasa na hamtapata mwalimu mwingine wa kuwafundisha labda aje malaika.

Nimemsikia Tundu Lissu akitangaza kugombea Urais, sawa ni haki yake, lakini bila kuhakikisha uwepo wa tume huru, namsikitikia anaweza kuongeza machungu ya risasi yaliyoanza kupona, kwa vile hakuna Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri wala msimamizi wa NEC aliye tayari kupoteza kazi yake kwa kumtangaza mpinzani kashinda.

Pamoja na ukweli kwamba CCM ina hali ngumu kisiasa ndani na nje ya chama, lkn kwao uchaguzi huu ni wa kufa na kupona, wanajua jinsi mgombea wao alivyopita kwa shida uchaguzi uliopita, wanajua fika wananchi walivyo na hali mbaya kimaisha, wanajua katiba inavyosiginwa, jinsi utawala wa sheria unavyopindwa, unyanyasaji, utekaji na jinsi uchumi ulivyoyumba.

Endapo mtaingia bila Tume Huru, nawahakikishia mkipata wabunge 5 na madiwani 50 nchi nzima, basi mkatambike na kujifukiza.

Ni hiyari yenu kusuka au kunyoa, muingie kwenye uchaguzi mbaki chama kisicho na mbunge hata mmoja au mpiganie kwanza Tume Huru.

Sabato njema watu wa Mungu.
Na wakizira mwaka huu ndio kaburi kabisa.
 
Chadema mna matatizo ya akili ivi mnategemea uchaguzi ujao mshinde?.
Naunga mkono hoja bora kuingia kwanza barabarani kudai tume huru ya uchaguzi na katiba mpya muda mzuri ni sasa chadema&ACT vitakuwa historia bora tuanzishe resistance kuliko kuingia kichwa kichwa kwenye uchaguzi.
 
CCM is an Underrated Brutal Fascist Party.

Hata Kama Wapinzani Wakishinda Hawatapewa Dola, Case Study Zanzibar.

Ninyi Nyote Mnaowashauri WAPINZANI KUSUSA mnataka kuwarudisha NYUMA.

Washiriki vivyo hivyo hata kama wakipiga hatua moja inatosha, haba na haba hujaza KIBABA.

Angalia Matokeo Ya Serikali Za Mitaa, Kilichotokea Baada Ya Kususa.

Na kwa serikali za mitaa ilikuwa bonge la TIMING.

Ila Kwa Sasa MaCCM yamejipanga.

Mkisusa Tayari Wameandaa NCCR-Mageuzi ( huku wakisindikizwa kwa nyuma na CUF, TLP, UPDP, DP, SAU ) hao wote watashiriki uchaguzi na kuhalalisha mchakato mbele ya JICHO LA KIMATAIFA.

Narudia tena VYAMA VYA UPINZANI ingawa hakuna HAKI, SHIRIKINI vivyo hivyo.

Mashujaa Hufia Ulingoni.

Hakuna Asiyejua Namna MaCCM walivyo shetani, dunia inajua, hivyo mkishiriki mtaongeza sababu za kwanini hiki chama hasa Magufuli Hawajawahi Kuwa Nia Njema Na Taifa Hili.
 
Kwa mazingira ya sasa chini ya utawala wa rais Magufuli, kufanya uchaguzi bila kwanza kuhakikisha kuna Tume Huru ya Uchaguzi ni kukipoteza chama mlichokijenga kwa damu.

Kama hamkujifunza kwenye chaguzi ndogo za marudio na uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi mtakuwa ni ma tabulalasa na hamtapata mwalimu mwingine wa kuwafundisha labda aje malaika.

Nimemsikia Tundu Lissu akitangaza kugombea Urais, sawa ni haki yake, lakini bila kuhakikisha uwepo wa tume huru, namsikitikia anaweza kuongeza machungu ya risasi yaliyoanza kupona, kwa vile hakuna Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri wala msimamizi wa NEC aliye tayari kupoteza kazi yake kwa kumtangaza mpinzani kashinda.

Pamoja na ukweli kwamba CCM ina hali ngumu kisiasa ndani na nje ya chama, lkn kwao uchaguzi huu ni wa kufa na kupona, wanajua jinsi mgombea wao alivyopita kwa shida uchaguzi uliopita, wanajua fika wananchi walivyo na hali mbaya kimaisha, wanajua katiba inavyosiginwa, jinsi utawala wa sheria unavyopindwa, unyanyasaji, utekaji na jinsi uchumi ulivyoyumba.

Endapo mtaingia bila Tume Huru, nawahakikishia mkipata wabunge 5 na madiwani 50 nchi nzima, basi mkatambike na kujifukiza.

Ni hiyari yenu kusuka au kunyoa, muingie kwenye uchaguzi mbaki chama kisicho na mbunge hata mmoja au mpiganie kwanza Tume Huru.

Sabato njema watu wa Mungu.
1590843603323.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom