Kifai
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 816
- 173
Habari zenu wana jamii forum,
Ujumbe niliotaka kuwafikishia uongozi CHADEMA makao makuu na wa mkoa wa K'njaro, ni kuhusu uchaguzi mkuu 2015 jimbo la Moshi Mjini, kama tulivyoona mzee wetu mpendwa Ndesamburo kazeeka na sidhani kama atagombea tena next time, basi kama hatagombea tena mimi binafsi nampendekeza kijana machachari na mwanasheria maarufu ndg Albert Msando kwasababu huyu jamaa nimepata bahati ya kuona interview zake yupo vizuri sana na ni mtu wa misimamo, pia yupo committed na chama.
Ujumbe niliotaka kuwafikishia uongozi CHADEMA makao makuu na wa mkoa wa K'njaro, ni kuhusu uchaguzi mkuu 2015 jimbo la Moshi Mjini, kama tulivyoona mzee wetu mpendwa Ndesamburo kazeeka na sidhani kama atagombea tena next time, basi kama hatagombea tena mimi binafsi nampendekeza kijana machachari na mwanasheria maarufu ndg Albert Msando kwasababu huyu jamaa nimepata bahati ya kuona interview zake yupo vizuri sana na ni mtu wa misimamo, pia yupo committed na chama.