Ushauri kwa CCM

Ushauri kwa CCM

koryo 2

Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
24
Reaction score
12
Kwa hali ninayoiona huku Mitaani CCM inabidi mjipange kuanzia sasa. Yale mapenzi waliyokuwa nayo Wananchi wakati awamu ya Tano ikiingia madarakani naona kama yanapungua kwa kasi sana. Nitoe mifano michache tu.
  • Sasa hivi wananchi wanasumbuliwa sana na masuala ya kodi kwa sababu ya dhana kuwa lazima kodi ikusanywe.
  • Mzunguko wa fedha ni kidogo sana. Mzunguko wa fedha unaonekana pale Serikali inapoleta fedha kwenye ngazi za chini. Hizi fedha zikiletwa kutekeleza miradi hutawanyika na hata muuza nyanya anaipata.
  • Huku kwenye Halmashauri wako hoi bin tabaan. Hakuna fedha inayoteremshwa huku chini na hakuna kazi inayofanyika. Mfano kuwatembelea wakulima,kutembelea shule, kutoa ushauri wa kitalaam huko viijini
  • Migogoro ya kila mara na vyama vya Upinzani. Ni busara kukaa nao meza moja na kujadiliana nao. Usiwadharau wapinzani nao wana watu wengi nyuma yao. Bila kuficha Rais wetu anafanya kazi nzuri sana. Mfano moja tu. Hivi sasa tatizo la umeme ni kama limekuwa jambo la kihistoria, lakini anatakiwa kukaa na Wapinzani ili awasikilize.
  • CCM mjiangalie sana 2020 siyo mbali.
 
Kwa hali ninayoiona huku Mitaani CCM inabidi mjipange kuanzia sasa. Yale mapenzi waliyokuwa nayo Wananchi wakati awamu ya Tano ikiingia madarakani naona kama yanapungua kwa kasi sana. Nitoe mifano michache tu.
  • Sasa hivi wananchi wanasumbuliwa sana na masuala ya kodi kwa sababu ya dhana kuwa lazima kodi ikusanywe.
  • Mzunguko wa fedha ni kidogo sana. Mzunguko wa fedha unaonekana pale Serikali inapoleta fedha kwenye ngazi za chini. Hizi fedha zikiletwa kutekeleza miradi hutawanyika na hata muuza nyanya anaipata.
  • Huku kwenye Halmashauri wako hoi bin tabaan. Hakuna fedha inayoteremshwa huku chini na hakuna kazi inayofanyika. Mfano kuwatembelea wakulima,kutembelea shule, kutoa ushauri wa kitalaam huko viijini
  • Migogoro ya kila mara na vyama vya Upinzani. Ni busara kukaa nao meza moja na kujadiliana nao. Usiwadharau wapinzani nao wana watu wengi nyuma yao. Bila kuficha Rais wetu anafanya kazi nzuri sana. Mfano moja tu. Hivi sasa tatizo la umeme ni kama limekuwa jambo la kihistoria, lakini anatakiwa kukaa na Wapinzani ili awasikilize.
  • CCM mjiangalie sana 2020 siyo mbali.
Well spoken
 
Hakuna jipya ndani ya swisswism kwani laana toka kwa Mungu dhidi ya Watz. wanaoshindwa kupata hata mlo mmoja tu kwa siku toka huru ilikhali nchi imebarukiwa kuwa na maziwa na asali.
 
Ngoja aje Lizabon na genge lake wakuporomoshee matusi
 
Kwa hali ninayoiona huku Mitaani CCM inabidi mjipange kuanzia sasa. Yale mapenzi waliyokuwa nayo Wananchi wakati awamu ya Tano ikiingia madarakani naona kama yanapungua kwa kasi sana. Nitoe mifano michache tu.
  • Sasa hivi wananchi wanasumbuliwa sana na masuala ya kodi kwa sababu ya dhana kuwa lazima kodi ikusanywe.
  • Mzunguko wa fedha ni kidogo sana. Mzunguko wa fedha unaonekana pale Serikali inapoleta fedha kwenye ngazi za chini. Hizi fedha zikiletwa kutekeleza miradi hutawanyika na hata muuza nyanya anaipata.
  • Huku kwenye Halmashauri wako hoi bin tabaan. Hakuna fedha inayoteremshwa huku chini na hakuna kazi inayofanyika. Mfano kuwatembelea wakulima,kutembelea shule, kutoa ushauri wa kitalaam huko viijini
  • Migogoro ya kila mara na vyama vya Upinzani. Ni busara kukaa nao meza moja na kujadiliana nao. Usiwadharau wapinzani nao wana watu wengi nyuma yao. Bila kuficha Rais wetu anafanya kazi nzuri sana. Mfano moja tu. Hivi sasa tatizo la umeme ni kama limekuwa jambo la kihistoria, lakini anatakiwa kukaa na Wapinzani ili awasikilize.
  • CCM mjiangalie sana 2020 siyo mbali.
Rais kashasema asiyefanya kazi na asile, hao ambao wanalalamika ni wale ambao washazoea vya dezo dezo.
 
creative is needed asee, kwel hali ni mbayaaa mbayaa sana huku mtaani, serikali wabuni namna ya kumkwamua mlala hoi
 
Kwa hali ninayoiona huku Mitaani CCM inabidi mjipange kuanzia sasa. Yale mapenzi waliyokuwa nayo Wananchi wakati awamu ya Tano ikiingia madarakani naona kama yanapungua kwa kasi sana. Nitoe mifano michache tu.
  • Sasa hivi wananchi wanasumbuliwa sana na masuala ya kodi kwa sababu ya dhana kuwa lazima kodi ikusanywe.
  • Mzunguko wa fedha ni kidogo sana. Mzunguko wa fedha unaonekana pale Serikali inapoleta fedha kwenye ngazi za chini. Hizi fedha zikiletwa kutekeleza miradi hutawanyika na hata muuza nyanya anaipata.
  • Huku kwenye Halmashauri wako hoi bin tabaan. Hakuna fedha inayoteremshwa huku chini na hakuna kazi inayofanyika. Mfano kuwatembelea wakulima,kutembelea shule, kutoa ushauri wa kitalaam huko viijini
  • Migogoro ya kila mara na vyama vya Upinzani. Ni busara kukaa nao meza moja na kujadiliana nao. Usiwadharau wapinzani nao wana watu wengi nyuma yao. Bila kuficha Rais wetu anafanya kazi nzuri sana. Mfano moja tu. Hivi sasa tatizo la umeme ni kama limekuwa jambo la kihistoria, lakini anatakiwa kukaa na Wapinzani ili awasikilize.
  • CCM mjiangalie sana 2020 siyo mbali.
Usiwe mwoga wewe!!
..... Uchwara anakurupuka!!!
Wananchi hawana imani na serikali yake.
Haiwezekani tuishi kwa kutazamia miujiza.
Ardhi za halmashauri anazibadilishia matumizi hii yote ni kuzinyonga hizi halmashauri (ref. viwanja vya magomeni quoters) Eti ili aonekane anachapa kazi!!!!
TUNATAKA APITIE UPYA MIKATABA YA MADINI NA GAS sio kuruhusu wananchi wake kula mapanki (magwangwala ya dhahabu)
 
Maisha yamekuwa magumu kwa kila mtu. Bei za bidhaa zinazidi kupanda, thamani ya pesa yetu inaporomoka dhidi ya us dollar. Wananchi wanajituma wanahangaika, bidhaa zao hawana wa kumuuzia kwa kuwa wenye hela wametishika. Masikini kwa masikini hawawezi kusaidiana , maana pesa hakuna kwenye mzunguko. Matajiri wameficha hela wanaogopa kauli za kutumbuliwa.
Kwa msaada Wa Mungu ajitokeze mja wake jasiri amshauri mukuru atangaze kubadilisha noti zetu ndio pesa itaonekana. La sivyo biashara nyingi itafungwa na serikali haitafikia lengo lake la kukusanya kodi.
Karibu kwa maoni zaidi.
 
Back
Top Bottom