upotoshaji dhahiri dhahiri 🐒Natoa ushauri kwa ACT Mzalendo. Kwa mawazo yangu chama chenu kina nguvu kuliko nyie mnavyo jichukulia. Tatizo lenu ni kukubali kidogo bila kujua mkikomaa vizuri mnaweza kupata zaidi na nitawapa mifano.
Kila mtu anajua ACT mlishinda Zanzibar sasa ni kwanini mlikubali kuwa na mawaziri wachache badala ya kuwa na mwaziri 50% ni kwasababu mnakubali haraka na mnaonekana warahisi sana kukubaliana na ndiyo maana wamewapa mawaziri wachache. Sheria haziwezi kufuatwa tu pale CCM inapo wanufaisha mnatakiwa kukomaa sawa sawa. Tatizo mnaonekana ni soft na hili ndiyo litawafanya watu waone hamtawaweza CCM ingawa kule Zanzibar mnakubalika zaidi kuliko CCM.
Msiogope kuiga Chadema bila ukichaa kidogo mtabaki hivyo hivyo. Hata US inaogopewa na China kwasababu wanajua hawaogopi kupigana. ACT wazalendo brand yenu ni ya kukubali na hii itafanya mpewe 10% badala ya 60% ambayo kiukweli mnayo kule Zanzibar. Kiukweli una talent zaidi ya CCM Zanzibar na wapo tayari kuwapa zaidi lakini tatizo lenu una penda sana kuwa comfortable. Hata sasa hivi inaelekea kama vile mnaomba mazungumzo badala ya CCM kuomba mazungumzo. Raisi alimuomba Mbowe mazungumzo kwasababu ya nguvu yake hivyo msi nyenyekee sana CCM hawasaidii. Bila CCM kujua kwamba mnaweza kunukisha hamtapata haki yenu na hamtakuwa tofauti na CCM.
Kuna wakati mnatakiwa kuonyesha hasira kama wenzenu. Msije kufikiri hata siku mmoja kinana anawapenda ! Anapenda kwasababu hamuwasumbui na mnakubali wenyewe kubaki kutawala. Huwezi kuwa mstaarabu kwenye waiba kura, wapindisha sheria wa wauaji. Haya ni mawazo yangu kimaeni.
Mimi nilienda kwenye harusi ya kinana Arusha nikiwa mdogo tuna mfahamu sana sana. Hawapendi ni mfanyabiashara yule sio mwanasiasa hivyo
Naomba kutofautiana na wewe kwa kuunga mkono approach ya ICT, ya kupokea kidogo unachopewa halafu endelea kuomba kikubwa!Natoa ushauri kwa ACT Mzalendo. Kwa mawazo yangu chama chenu kina nguvu kuliko nyie mnavyo jichukulia. Tatizo lenu ni kukubali kidogo bila kujua mkikomaa vizuri mnaweza kupata zaidi na nitawapa mifano.
Kila mtu anajua ACT mlishinda Zanzibar sasa ni kwanini mlikubali kuwa na mawaziri wachache badala ya kuwa na mwaziri 50% ni kwasababu mnakubali haraka na mnaonekana warahisi sana kukubaliana na ndiyo maana wamewapa mawaziri wachache. Sheria haziwezi kufuatwa tu pale CCM inapo wanufaisha mnatakiwa kukomaa sawa sawa. Tatizo mnaonekana ni soft na hili ndiyo litawafanya watu waone hamtawaweza CCM ingawa kule Zanzibar mnakubalika zaidi kuliko CCM
Unatoa ushauri kwenye jambo ambalo ulijui hata kidogo, ulijui kabisa, kabla ya kutoa ushauri ni lazima ulijua jambo unalolitolea ushauri,Natoa ushauri kwa ACT Mzalendo. Kwa mawazo yangu chama chenu kina nguvu kuliko nyie mnavyo jichukulia. Tatizo lenu ni kukubali kidogo bila kujua mkikomaa vizuri mnaweza kupata zaidi na nitawapa mifano.
Kila mtu anajua ACT mlishinda Zanzibar sasa ni kwanini mlikubali kuwa na mawaziri wachache badala ya kuwa na mwaziri 50% ni kwasababu mnakubali haraka na mnaonekana warahisi sana kukubaliana na ndiyo maana wamewapa mawaziri wachache. Sheria haziwezi kufuatwa tu pale CCM inapo wanufaisha mnatakiwa kukomaa sawa sawa. Tatizo mnaonekana ni soft na hili ndiyo litawafanya watu waone hamtawaweza CCM ingawa kule Zanzibar mnakubalika zaidi kuliko CCM.
Msiogope kuiga Chadema bila ukichaa kidogo mtabaki hivyo hivyo. Hata US inaogopewa na China kwasababu wanajua hawaogopi kupigana. ACT wazalendo brand yenu ni ya kukubali na hii itafanya mpewe 10% badala ya 60% ambayo kiukweli mnayo kule Zanzibar. Kiukweli una talent zaidi ya CCM Zanzibar na wapo tayari kuwapa zaidi lakini tatizo lenu una penda sana kuwa comfortable. Hata sasa hivi inaelekea kama vile mnaomba mazungumzo badala ya CCM kuomba mazungumzo. Raisi alimuomba Mbowe mazungumzo kwasababu ya nguvu yake hivyo msi nyenyekee sana CCM hawasaidii. Bila CCM kujua kwamba mnaweza kunukisha hamtapata haki yenu na hamtakuwa tofauti na CCM.
Kuna wakati mnatakiwa kuonyesha hasira kama wenzenu. Msije kufikiri hata siku mmoja kinana anawapenda ! Anapenda kwasababu hamuwasumbui na mnakubali wenyewe kubaki kutawala. Huwezi kuwa mstaarabu kwenye waiba kura, wapindisha sheria wa wauaji. Haya ni mawazo yangu kimaeni.
Mimi nilienda kwenye harusi ya kinana Arusha nikiwa mdogo tuna mfahamu sana sana. Hawapendi ni mfanyabiashara yule sio mwanasiasa hivyo
Unatoa ushauri kwenye jambo ambalo ulijui hata kidogo, ulijui kabisa, kabla ya kutoa ushauri ni lazima ulijua jambo unalolitolea ushauri,
1.Ni uchale tu kudhani wewe unaijua ACT inanguvu kuliko wao wanavyo jijua, yaan wewe ambaye uiona ACT kwa kuiangalia tu rangi na majina ya baadhi ya viongozi wao, ndio ujue inanguvu kuwazidi watendaji wake, ambao wana data base ya majina na idadi ya wanachama wao, wanaingia kwa wananchi na kuuza sera zao, wameriport zote za tafiti zinazofanywa na watalamu wa chama, kisha wewe uwazidi kujua nguvu yao!! hichi ni kituko cha kwanza.
2.Unasema wamekubali kupewa mawaziri wachache, ilibidi wakomae ili wapewe mawaziri 50%, suala la SUK (Serikal ya Umoja wa Kitaifa) kwa Zanzibar sio hisani, wala matakwa ya Ccm, ni sauala ambalo lipo kikatiba, idadi ya viongozi wa ACT WAZALENDO ndani ya Serikal ya mapinduzi ya Zanzibar ipo kikatiba, hivyo imefuatwa katiba.
3.Mwisho kabisa suala la kudhani Ccm ni waoga ndio sababu waliomba mazungumzo na Chadema, ndio pale nikasema hujui kitu kisha unataka kutoa ushauri juu ya hicho kitu, kwa taarifa yako tu, Chadema ndio walioomba mazungumzo kwa Ccm, Haya niambia hayo mazungumzo yapo wapi na yamezaa kitu gani? linapo kuja suala la madaraka Ccm huwa hawajali lolote wao madaraka kwanza Mengine baadae.
Naomba kutofautiana na wewe kwa kuunga mkono approach ya ICT, ya kupokea kidogo unachopewa halafu endelea kuomba kikubwa!
P
3.Mwisho kabisa suala la kudhani Ccm ni waoga ndio sababu waliomba mazungumzo na Chadema, ndio pale nikasema hujui kitu kisha unataka kutoa ushauri juu ya hicho kitu, kwa taarifa yako tu, Chadema ndio walioomba mazungumzo kwa Ccm, Haya niambia hayo mazungumzo yapo wapi na yamezaa kitu gani? linapo kuja suala la madaraka Ccm huwa hawajali lolote wao madaraka kwanza Mengine baadae.Unatoa ushauri kwenye jambo ambalo ulijui hata kidogo, ulijui kabisa, kabla ya kutoa ushauri ni lazima ulijua jambo unalolitolea ushauri,
1.Ni uchale tu kudhani wewe unaijua ACT inanguvu kuliko wao wanavyo jijua, yaan wewe ambaye uiona ACT kwa kuiangalia tu rangi na majina ya baadhi ya viongozi wao, ndio ujue inanguvu kuwazidi watendaji wake, ambao wana data base ya majina na idadi ya wanachama wao, wanaingia kwa wananchi na kuuza sera zao, wameriport zote za tafiti zinazofanywa na watalamu wa chama, kisha wewe uwazidi kujua nguvu yao!! hichi ni kituko cha kwanza.
2.Unasema wamekubali kupewa mawaziri wachache, ilibidi wakomae ili wapewe mawaziri 50%, suala la SUK (Serikal ya Umoja wa Kitaifa) kwa Zanzibar sio hisani, wala matakwa ya Ccm, ni sauala ambalo lipo kikatiba, idadi ya viongozi wa ACT WAZALENDO ndani ya Serikal ya mapinduzi ya Zanzibar ipo kikatiba, hivyo imefuatwa katiba.
3.Mwisho kabisa suala la kudhani Ccm ni waoga ndio sababu waliomba mazungumzo na Chadema, ndio pale nikasema hujui kitu kisha unataka kutoa ushauri juu ya hicho kitu, kwa taarifa yako tu, Chadema ndio walioomba mazungumzo kwa Ccm, Haya niambia hayo mazungumzo yapo wapi na yamezaa kitu gani? linapo kuja suala la madaraka Ccm huwa hawajali lolote wao madaraka kwanza Mengine baadae.
😉😉😉Naomba kutofautiana na wewe kwa kuunga mkono approach ya ICT, ya kupokea kidogo unachopewa halafu endelea kuomba kikubwa!
P
Upo sahihi sn, CHADEMA siyo wajinga kama ACT, ACT inaenda kuwa kama CUF3.Mwisho kabisa suala la kudhani Ccm ni waoga ndio sababu waliomba mazungumzo na Chadema, ndio pale nikasema hujui kitu kisha unataka kutoa ushauri juu ya hicho kitu, kwa taarifa yako tu, Chadema ndio walioomba mazungumzo kwa Ccm, Haya niambia hayo mazungumzo yapo wapi na yamezaa kitu gani? linapo kuja suala la madaraka Ccm huwa hawajali lolote wao madaraka kwanza Mengine baadae.
Unaongelea baada ya uchaguzi. Lakini siku mbowe anatoka jela ni Raisi ndiye aliomba kukutana na Mbowe. Raisi alienda ubeligiji yeye ndiye aliomba kuonana na Lissu.
Raisi hajafanya kwa huruma bali kwa hali halisi. Pressure ndiyo inaleta mabadiliko huwezi kushinda uchaguzi halafu eti ukakubali kupewa viwaziri viwili ukatulia halafu wananchi wanakuchukulia serious😂
Its about being appreciative, kuwa na shukrani kwa madogo, utapata makubwa! . ACT wanakwenda kushinda Zanzibar 2025.Hii approach haiwezi kubalisha nchi hata siku mmoja badala yake ni ku create monarch. Hata siku moja usi settle for less.
Its about being appreciative, kuwa na shukrani kwa madogo, utapata makubwa! . ACT wanakwenda kushinda Zanzibar 2025.
P
Kuomba tena, yaani haki yako uombe kisha upewe kidogo halafu uendelee kuomba kikubwa! Ila ww bro unaniachaga hoi.Naomba kutofautiana na wewe kwa kuunga mkono approach ya ICT, ya kupokea kidogo unachopewa halafu endelea kuomba kikubwa!
P
Hawana tatizo la kushinda huko Zanzibar, kutangazwa washindi ndio imekuwa tatizo. Huwa wanashinda mara zote. Jitahidi usipotoshe kuwa hiyo 2025 ndio wataenda kushinda.Its about being appreciative, kuwa na shukrani kwa madogo, utapata makubwa! . ACT wanakwenda kushinda Zanzibar 2025.
P
I mean watashinda na watatangazwa!Hawana tatizo la kushinda huko Zanzibar, kutangazwa washindi ndio imekuwa tatizo. Huwa wanashinda mara zote. Jitahidi usipotoshe kuwa hiyo 2025 ndio wataenda kushinda.
Kilishindikana Nini huko nyuma? Sema safari hii watatangazwa maana ushindi kwao ni GIVEN.I mean watashinda na watatangazwa!
P
Natoa ushauri kwa ACT Mzalendo. Kwa mawazo yangu chama chenu kina nguvu kuliko nyie mnavyo jichukulia. Tatizo lenu ni kukubali kidogo bila kujua mkikomaa vizuri mnaweza kupata zaidi na nitawapa mifano.
Kila mtu anajua ACT mlishinda Zanzibar sasa ni kwanini mlikubali kuwa na mawaziri wachache badala ya kuwa na mwaziri 50% ni kwasababu mnakubali haraka na mnaonekana warahisi sana kukubaliana na ndiyo maana wamewapa mawaziri wachache. Sheria haziwezi kufuatwa tu pale CCM inapo wanufaisha mnatakiwa kukomaa sawa sawa. Tatizo mnaonekana ni soft na hili ndiyo litawafanya watu waone hamtawaweza CCM ingawa kule Zanzibar mnakubalika zaidi kuliko CCM.
Msiogope kuiga Chadema bila ukichaa kidogo mtabaki hivyo hivyo. Hata US inaogopewa na China kwasababu wanajua hawaogopi kupigana. ACT wazalendo brand yenu ni ya kukubali na hii itafanya mpewe 10% badala ya 60% ambayo kiukweli mnayo kule Zanzibar. Kiukweli una talent zaidi ya CCM Zanzibar na wapo tayari kuwapa zaidi lakini tatizo lenu una penda sana kuwa comfortable. Hata sasa hivi inaelekea kama vile mnaomba mazungumzo badala ya CCM kuomba mazungumzo. Raisi alimuomba Mbowe mazungumzo kwasababu ya nguvu yake hivyo msi nyenyekee sana CCM hawasaidii. Bila CCM kujua kwamba mnaweza kunukisha hamtapata haki yenu na hamtakuwa tofauti na CCM.
Kuna wakati mnatakiwa kuonyesha hasira kama wenzenu. Msije kufikiri hata siku mmoja kinana anawapenda ! Anapenda kwasababu hamuwasumbui na mnakubali wenyewe kubaki kutawala. Huwezi kuwa mstaarabu kwenye waiba kura, wapindisha sheria wa wauaji. Haya ni mawazo yangu komaeni acheni usoft soft CCM itawamaliza kwa huo “ ustaarabu”.
Mimi nilienda kwenye harusi ya kinana Arusha nikiwa mdogo tuna mfahamu sana sana. Hawapendi ni mfanyabiashara yule sio mwanasiasa hivyo