Sawa sawaTafuta ramani unayoipenda ... tafuta fundi akupe mchanganuo wa gharama na materials anza kujenga
Sawa mkuu, na tayari kimesha pimwa na hati ninayo. Ila bado sina kibali cha ujenzi.Usisahau pia kufanya haya kabla ya ujenzi...
-Ramani ya mpango miji.
-Kusaka hati ya kumiliki kiwanja.
-Kibali cha ujenzi.
Ni mambo fulani (siyo ya lazima sanaaa!) yamekaa kipuuzi fulani, yanachosha kuyafikiria, lakini katika zama hizi za kuja kubomolewa bila kulipwa fidia wala kuhurumiwa, yana msingi mkubwa.
Mi sikuwa na kibali cha ujenzi,yani nilianza kichwa kichwa tu, wakati nimefika katikati wakaibuka hao jamaa wa kibali cha ujenzi...walinizingua sana wakasimamisha ujenzi badae wakanilipisha mpaka na penalty,sina hamu nao kabisa.Usisahau pia kufanya haya kabla ya ujenzi...
-Ramani ya mpango miji.
-Kusaka hati ya kumiliki kiwanja.
-Kibali cha ujenzi.
Ni mambo fulani (siyo ya lazima sanaaa!) yamekaa kipuuzi fulani, yanachosha kuyafikiria, lakini katika zama hizi za kuja kubomolewa bila kulipwa fidia wala kuhurumiwa, yana msingi mkubwa.
Kibali ni muhimu mkuu kabla hujaanza ujenziSawa mkuu, na tayari kimesha pimwa na hati ninayo. Ila bado sina kibali cha ujenzi.
Si mbaya, ila mikopo naiogopa hatari !! Hii laki 4 ni kwasababu ya hali ya Dunia kwa sasa ya Covid19. Mambo ya kikaa sawa, nitaweka zaidi ya hizo.Unaweza kujenga lakini itakuchukua miaka kumaliza.
Unaonaje ukitafuta mkopo wenye riba nafuu ili uwe unakatwa kila mwezi walau laki mbili?
Mfano ukiweza kukopa 8-10 M utaweza utaweza kujenga vyumba 2 na sebule ukahamia kisha baadae ukaendelea na ujenzi wa nyumba kubwa au ukaacha matoleo.
Mkopo utaweza kurejesha kwa miaka 2 n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee pole sana.. hicho kibali lazma nikitafute kabla ya yote.Mi sikuwa na kibali cha ujenzi,yani nilianza kichwa kichwa tu, wakati nimefika katikati wakaibuka hao jamaa wa kibali cha ujenzi...walinizingua sana wakasimamisha ujenzi badae wakanilipisha mpaka na penalty,sina hamu nao kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili uweze kupata kibali cha ujenzi ni lazima uwe na mchoro wa ramani ya nyumba unaotaka kujenga.Lazima uwe umegongwa muhuri na registered Architect then utaipeleka kwenye ofisi ya halmashauri ya eneo kiwanja kilipo.Sawa mkuu, na tayari kimesha pimwa na hati ninayo. Ila bado sina kibali cha ujenzi.
Shukran sana, na save namba yako, nitakutafuta.Ili uweze kupata kibali cha ujenzi ni lazima uwe na mchoro wa ramani ya nyumba unaotaka kujenga.Lazima uwe umegongwa muhuri na registered Architect then utaipeleka kwenye ofisi ya halmashauri ya eneo kiwanja kilipo.Kama hauna ramani Mimi ni Arcitect karibu tufanye kazi ntakuchorea na kukugongea muhuri pia ntakusaidia kufuatilia kibali cha ujenzi.tuchekiane kwenye 0756928360
Karibu sanaShukran sana, na save namba yako, nitakutafuta.
Ukishindwa bei ya ramani urudi tena hapa tukupe msaada.Shukran sana, na save namba yako, nitakutafuta.
Ni kweli ila kwa mazingira yaliyopo hakika hata nyumba za kupanga zingekuwa hakuna kwa kuogopa hayo!Usisahau pia kufanya haya kabla ya ujenzi...
-Ramani ya mpango miji.
-Kusaka hati ya kumiliki kiwanja.
-Kibali cha ujenzi.
Ni mambo fulani (siyo ya lazima sanaaa!) yamekaa kipuuzi fulani, yanachosha kuyafikiria, lakini katika zama hizi za kuja kubomolewa bila kulipwa fidia wala kuhurumiwa, yana msingi mkubwa.
Mmuu servant kota nayo inahitaji kibali?Ili uweze kupata kibali cha ujenzi ni lazima uwe na mchoro wa ramani ya nyumba unaotaka kujenga.Lazima uwe umegongwa muhuri na registered Architect then utaipeleka kwenye ofisi ya halmashauri ya eneo kiwanja kilipo.Kama hauna ramani Mimi ni Arcitect karibu tufanye kazi ntakuchorea na kukugongea muhuri pia ntakusaidia kufuatilia kibali cha ujenzi.tuchekiane kwenye 0756928360
Kila kitu kinawezekana, kwa ushauri mwepesi sema na jirani yako aliyekwisha Jenga na muulize kuhusu fundi aliyemjengea na gharama zake ukishazipata ongea na fundi kirefu na asiwe huyo tu tafuta na mafundi wengine hata wanne utakayoyapata kwao utajua pa kuanzia na ikiwa kiwanja ni tambarale basi utatumia gharama nafuu zaidi, ila hiyo mitaa ni vizuri sana fundi kukuwekea kitako chini kabla ya kujenga tofali na kufunga mkanda ikiwezekana hata nguzo fup za msingi kwa kila kona!Habari zenu ndungu zangu,
Ninauwezo wa kuweka akiba ya Laki 4 kila mwezi.
Nina kiwanja changu cha m 27 kwa 20 pale Mbezi ya Kimara.
Maswali yangu ni yafuatayo :
1) Je, naweza kujenga nyumba ya vyumba 4 hapo?
2) Nianzie wapi katika project ya ujenzi wangu? Ninunue kwanza matofali?
Shukran kwa maoni yenu wakuu!
Kwa kawaida kila ujenzi mpya unaotaka kujenga kama haupo kwenye kibali cha mwanzo unahitaji uwe na kibali cha ujenzi.Japo kuna watu wanajenga bila kufuata utaratibu.Mmuu servant kota nayo inahitaji kibali?
Na gharama za kibali cha ujenzi zikoje?
Asante kwa elimu. Vipi sasa kuna kampuni zozote ambazo unaweza ukawalipa wakutafhte kibali hicho?Kwa kawaida kila ujenzi mpya unaotaka kujenga kama haupo kwenye kibali cha mwanzo unahitaji uwe na kibali cha ujenzi.Japo kuna watu wanajenga bila kufuata utaratibu.Kuhusu gharama za kibali za ujenzi huwa zinatofautiana kutokana na halmashauri.Kuna baadhi ya halmashauri wanafanya sh 50000 kwa nyumba za chini.na kuna baadhi ya halmashauri wanachaji kwa square meter haizidi sh 500 kwa square meter moja
Ukiwa na Architect aliyehusika kukuchorea ramani yako atakuongoza kuanzia hatua ya kwana hadi mwisho jinsi ya kupata kibali chako cha ujenzi.Ushauri tu penda kutumia wataaramu husika kwenye kitu husika.inasaidia sana kupata matokeo chanya kwenye kitu unachokifanya.Asante kwa elimu. Vipi sasa kuna kampuni zozote ambazo unaweza ukawalipa wakutafhte kibali hicho?