Ni kweli,in some other things Niko weak,but kwenye ishu ya mapenzi I'm little bit strong I can say. What I need is a person nimuelezee tu nitoe dukuduku langu la situation iliyopo mbele yangu baaaasiiiiiUnlucky, wale watu wema kwa kushauri huwa wanazidiwa zaidi na mambo yao wenyewe. Yaani, unakuta ni mshauri mzuri sana lakini yakimkuta yaliyomkuta mwenzake yanamuathiri sana kupita hata yule.
Mwenzake kama amelia na kuhuzunika sana, yeye atajaribu na njia mbadala za kujiondoa uhai.
They can't handle what they advice others.
Polee,lakini ukishakuwa na self awareness u can handle them. Na sio vibaya kuomba ushauri kwa watu wengine. No body is perfectHilo halina ubishi, mara nying pia nmeshauri watu mbalmbal nawakapona ila yanaponikuta mm mambo yte nlyomshaur afanye il kupoteza mawazo juu ya jambo hilo huw naona haztafanya kazi,
Hivo vitu huwa vinasaidia. Lakini,usitegemee kitakacho nisaidia Mimi ndicho kitakachokusaidia wewe. Hapana, kila mtu na maumivu yake,yanazidiana. Wengine huumia lakini s sana,sasa Kama Una mpenzi tu mkaachana,halafu mwenye mchumba a month ahead anafunga ndoa akakataliwa,Hapo maumivu yatalingana?? So,kuongea na mtu unae muamini ukaelezea tatizo ni moja ya Ku solve tatizo. That's what I believeMara nyingi mtu akiwa na stress mfn za mapenzi- utaskia mtu anakshauri ji-keep busy na kazi,soma vitabu,jichanganye na marafiki,sikiliza muziki, toka out,to me siwezi kufanya hata kimoja mfano niseme nisome vitabu, au nisikilize muziki lazma wazo litakuja nafanya hichi kitu sahiv kwaajr ya nini-jibu litakuwa C kwaajr ya ile stress, hapox2 nagail kufanya nabak kimya nagugumia maumivu.
Nitafute Chumbani (PM) tutete kidogo.Asante...
Mbona nakusikia jamani!
Hebu muambie bhanah!... Alafu ni sisiter wangu huyo.... Ananikimbia tu.
Ukiheshimu watu wengine haupungukiwi kitu,instead unajijengea na kujiongezea kitu. Kwenu hakuna wakubwa wa kukufundisha heshima kwa wengine? Siombi uniheshimu, laki ni nakushauri jiheshimu kwanza kabla hujaheshimu wengine,unaonekana hujiheshimu wala hujielewa.
Kumbe wewe mtia moyo na mtuliza maumivu mzuri eeh... haya hilo nimelihifadhi
Kumbe wewe mtia moyo na mtuliza maumivu mzuri eeh... haya hilo nimelihifadhi
Hongera.it just happen automatically. Nilikwa nashangaa watu wengi wananifuata na wengine wanaleta rafiki zao kwangu. Nikawaulza niliowahi ongea nayo,what's special I told you? Akanijibu you tell me a lot,and they mean a lot of some things to me...
Basi Ndio hivyo
Ndugu umenifedhesha saana. Umenisikitisha saana na kuninyon'goshesha moyo...bwana alisema enendeeni mkaijaze dunia hakuishia hapo akatupasa ombeni nanyi mtapewa zaidi ya hapo akasema majaribu ni mtaji.Hahahaaha relato kuwa makini sana na huyu kijana. Ukiyatafakari maneno yake kwa undani utajua anamaanisha nini.
Siijui njiaNitafute Chumbani (PM) tutete kidogo.
Nimeshakusamehe. I'm not kaka tho.