Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,073
- 1,576
Habari wakuu.
Baada ya kushindwa kumudu kuweka makabati ya mbao jikoni kutokana na ukubwa gharama,
Pia ya zege kwa kuhofia kutokuwa na mwonekano mzuri,
Nimefikiria ama kutumia materials za
1) MDF au 2) MARINE BOARD.
Ingawa fundi aliniambia kuwa hizo aina mbili za board hazidumu, hasa zikigusa maji.
Kwa waliotumia moja kati ya MDF na Marine boards,
naomba mwongozo wa uimara na changamoto za hizo materials kwa makabati ya jikoni.
Napokea ushauri mwingine wa maboresho.
Baada ya kushindwa kumudu kuweka makabati ya mbao jikoni kutokana na ukubwa gharama,
Pia ya zege kwa kuhofia kutokuwa na mwonekano mzuri,
Nimefikiria ama kutumia materials za
1) MDF au 2) MARINE BOARD.
Ingawa fundi aliniambia kuwa hizo aina mbili za board hazidumu, hasa zikigusa maji.
Kwa waliotumia moja kati ya MDF na Marine boards,
naomba mwongozo wa uimara na changamoto za hizo materials kwa makabati ya jikoni.
Napokea ushauri mwingine wa maboresho.