Ushauri: Kuhusu kunusuru ndoa ya rafiki yangu

Ushauri: Kuhusu kunusuru ndoa ya rafiki yangu

Kamshirikishaje Mungu katika hili....unajua tukishaoa na kuolewa Mungu tunamweka mbali badala ya kuiombea ndoa kila siku.......ndoa ni mpango wa Mungu naye shetani anayafanya yake kuhakikisha anatibua hili...na sie binadamu tulivyowagumu tunashindwa kuziombea ndoa zetu....suluhisho ni kuachana....
 
Yaani watu wanaona kuacha ndo style ya muji..i hate this agjdbhhddjjdhhh!!!! yeye si kidume? apambane na mwanaume mwenzie ili kunusuru ndoa yake laa aseme kamchoka anamtaftia sababu maana nyie wanaume mna mambo pia..watt 4 aanze kuwa disturb sahv si aibu jamani?

Afanye utafiti wa kutosha then ajue yule dada anafanya kwa sbb gani inawezekana amevumliia vituko vyakeee kaona sasa too much...km anampenda mkewe amuonye na ahakikishe hakubali kunyang'anywa tonge mdomoni ...yy ndo atapata fedheha atiii..

Siwez gombania mwanamke never ever, hata kama nimemuoa na kazaa watoto 200! Nikijiridhisha anachepuka na nkawa naushahidi ..nkamuonya hataki kuacha....NO WAY OUT ....HUWEZ LAZIMISHA MTU .....I SEND HER TO KWAO BY ANY MEANS....HALALI AU HARAMU!
 
Hivi kweli kweli unacheat niendelee kuwa na wewe, kila mtu chumba chake, hiyo ndo hatua ya kwanza then unafikiria wat next it's ur life. Uchague amani au vita.
 
hapo hakuna ushauri huyo mwanamke hafai kaishapata sehemu nyingine sio mwamminifu ,amrudishe kwao kwa muda akajifunze maana ya ndoa
 
Mwambie aendelee kucheka na nyani asubiri mavuno ya UKIMWI!Mke huwa haachwi siku hizi, aanze yeye kukuacha siyo wewe umwache yeye, yeye anyanyue mabegi yake aondoke tena hata taraka siandiki! Cha muhimu afanye ujasusi (kazi rahisi sana) mpaka amjue huyo mwizi wake, afuatilie wana mahusiano tayari au ndiyo wanapigana voko. Akishajihakikishia amwite mkewe, hakuna haja ya mshenga, ni mazungumzo ya wawili tu, amuulize "Mke wangu hebu niambie wazi, unataka kuwa na mimi au nikuruhusu uendelee na fulani (mtaje jina)?", akijibu anataka kubaki mwambie

"Nakupa angalizo la mwisho, ACHA UNACHOKIFANYA, MWANZIE NA MWENZIO NIMEWASAMEHE MUACHE", kisha mtafute huyo mwanaume anonimously mwambie "Unachokifanya na fulani (taja jina la mkeo), KIACHE". Baada ya hapo kaa kwenye computer yako uendelee kupata update za mawasiliano ya mkeo na mbaya wako, kama ana akili atamwambia waache.

kama HANA akili watadanganyana wawe waangalifu, akishajua wamepanga kuwa waangalifu na yeye azidishe uangalizi, akiwang'amua tu aandae vijana wa kazi na camera za kutosha, yeye wala hana haja ya kwenda eneo la tukio...anawaelekeza tu vijana kazi ya kufanya anawapa na kianzio, kesho asubuhi wanamletea mrejesho anawamalizia salio lao....swaafi! Wala usimuulize kitu mkeo, kuwa mpole kabsaa, usiwe wa kwanza kuomba game, akikuomba game mwambie naenda dukani mara moja, unaenda unarudi na condom.
 
Mawazo yako ni sawa na ya kwangu. Wakondyamo go!!!!

mmmh ...kwa hiyo lugha ningeshangaa kama usingesapoti hivyo, maana wanaonaga wanawake wote hawafai..wakati wao wenyewe(wanaume), kutwa kuwanyemeleaa....daah
 
Upumbavu Huo.Umuache Mkeo Uliezaa Nae Watoto Wa4 Kwasababu Ya Simu Tu.Ya Kazi Gani Kujitia Presha Na Mwanamke Uliekwisha Mzalisha Watoto Wa4?.Amuache Na Wala Hata Simu Yake Hasiguse Hata Kama Akiiona Mezani Inaita.

Na Sio Simu Tu Hata Kama Angejua Anagegedwa Na Jamaa Wala Hasijisumbue Kumfatilia.Ili Mradi Uchafu Wake Haufanyii Ndani Kwake.Hakuna Haja Ya Kuangaika Nae.Amwache Akimaliza Mambo Yake Atarudi Nyumban Kulea Watoto.
Hakuna housegirl mzuri wa watoto kama mama yao; ampe tu uhuru wa kutosha atakapogundua huyo bwana ni cha mtoto kwa mumewe heshima itaongezeka. Mara nyingi wenye makelele mengi hivi ni watu hawajiamini na wanajua wana mapungufu; sasa kama jamaa amepungukiwa wasimkamulie bibie kwanini?
 
Hivi kweli kweli unacheat niendelee kuwa na wewe, kila mtu chumba chake, hiyo ndo hatua ya kwanza then unafikiria wat next it's ur life. Uchague amani au vita.

Kama unamgonga akasikia na ukaina unatendea haki ile kitu unahaki ..ila kama unagusa suga my dear nimwonevu wewe
 
hapo hakuna ushauri huyo mwanamke hafai kaishapata sehemu nyingine sio mwamminifu ,amrudishe kwao kwa muda akajifunze maana ya ndoa

Usiseme hivyo lazima tukue mwanaume yupo responsible
 
Kama unamgonga akasikia na ukaina unatendea haki ile kitu unahaki ..ila kama unagusa suga my dear nimwonevu wewe
sikio la kufa hilo we unataka mpaka alete ukimwi ndani ndio msema ayaaaa,hapana kwa kweli na aende tu
 
Jaman hata kama nimezaa kimu akigundua nimechepika au kachepuka tu aniache kiroho safii!MAMBO YA KULETEANA HIV NDANI NI NIN???
 
Naona wengi mnamtetea sana mwanamke lakn mnasahau kuwa hapo kina tatizo linachipua..... Kama aliweza kufikia hatua ya kuazma simu mpaka ampigie huyo mwanaume wake hapo kunann?.......... Mtu amekalishiwa na vikao vya washenga lakn bado hasikii hapo bado hamuoni tatzo?

Kumwacha mwanamke mwanamke kwa uzinzi hilo sion kama ni kosa.. .... Ni bora nibaki na wanangu niwalee pekeyangu kuliko kuling'ang'ania janamke lisilojtambua baadae liniletee maradhi bure na tuwaache watoto yatima

Wakati unatoa hayo maamuzi jitafakari wewe ni msafi kiasi gani.
 
Mambo kama haya mkiyaleta hapa mnaambulia na ushauri was Giza was wasiojua nini maana ya ndo nao wanawashauri,unategemea asiyeifahamu ndoa ana ufahamu gani kuhusu kutoa ushauri juu ya masuala ya ndoa kama siyo kujidharirisha na kuzidharirisha ndoa yenu?

Nawashauri tafuteni watu wazima wanaofahamu maana ya taasisi ya ndoa wawashauri,ndoa ni taasisi ngumu na nyeti kuliko hata kuwa raisi,anayejua naamini ameelewa nachomaanisha! ..be mature enough.
 
Wakati unatoa hayo maamuzi jitafakari wewe ni msafi kiasi gani.

siwez kuanzisha ugomvi nikiwa ndan ya nyumba ya vioo....... Ila yule atakayenichokoza wakat nipo ndan ya nyumba ya vioo huyo lazma ni mvuruge.......
 
Kabla hajamuacha ahakikishe anapata ushahidi wa uzinzi wa mke wake,ili atapomuacha awe na sababu ya msingi...japokuwa hadi sasa huyo mwanamke inaonyesha ni mpumbavu
 
ndoa sometimes mmh ni tatizo kama matatizo mengine mpe pole
 
Ukifanya uzinzi utaachwa tu maana hakuna namna nyingine utaachwa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom